Tetesi: Google watoa toleo lao la pixel

3XL ndo naona ina notch...sipend haya manotch,,alaf chaajabu manufacture wakubwa nao wameanza kuiga.....ila sim zao ziko poa sana...pure stock android
 
Notch ilianza kutumika kwenye essential PH-1, apple wakaitumia kwenye iphone x, huawei wakaitumia kwenye p20 na wengine wengi ma wao wanatumia. Teknolojia ndio inatupeleka uko kutumia notch na high end phones zote zitatumia notch.
 
Notch ilianza kutumika kwenye essential PH-1, apple wakaitumia kwenye iphone x, huawei wakaitumia kwenye p20 na wengine wengi ma wao wanatumia. Teknolojia ndio inatupeleka uko kutumia notch na high end phones zote zitatumia notch.
Kuongezea notch ilianza kwa Sharp, essential alikuwa wa pili na Apple akawa wa tatu.

Na mpaka notch imewezekana kutumika ni breakthrough ya display companies (mfano hao sharp), it has nothing to do na watengeneza simu.

Kama vile ambavyo Samsung alikuwa wa kwanza kutengeneza display zenye curve, ama Lg display zinazobend etc.

Ila hao wazee wa Tunda hawawezi kukuelewa.
 
Angalia hizi simu mbili kwa juu utaona zina maumbo tofauti, hiyo ya kwanza ndiyo simu inayotumia technologia ya notch kwa maana ya kwamba nafasi iliyopo juu imetumiwa karibia yote kuwa ni screen!
CC: pandagichiza & masafi
rps20181010_232835_177.jpeg
rps20181010_232806_624.jpeg
 
Notch ilianza kutumika kwenye essential PH-1, apple wakaitumia kwenye iphone x, huawei wakaitumia kwenye p20 na wengine wengi ma wao wanatumia. Teknolojia ndio inatupeleka uko kutumia notch na high end phones zote zitatumia notch.
na kifupi zinaleta muonekano mbaya tena sana
 
Notches zipo na ndio mfumo wa sasa na mwandishi unapotosha kusema Google kamkopi Apple.

Ubaya wa hii 3 XL hauwezi toggle off notch kwenye settings. i hope watarekebisha kwa Os update.

Kwa kumalizia, Google Pixel ni simu zenye ubora sana hasa camera quality japo ina only one rear facing camera compared to other flagship devices.
 
Back
Top Bottom