google tatizo lako kabla hujalileta hapa

google tatizo lako kabla hujalileta hapa

jumaa24

Member
Joined
Oct 11, 2011
Posts
97
Reaction score
13
guys tuacheni uvivu kuna problems nyingine uki search google unapata ufumbuzi fasta sio lazima kuja humu kuuliza! maana thread za misaada siku hizi ni nyingi mno tofauti na mwanzo ambapo tulikua tukipata maujuzi ya IT humu ndani kwa sana!! Tuwe wepesi kuumiza vichwa wenyewe mpaka itakaposhindikana ndo ujaribu hapa!! Mfano mtu anauliza wapi atapata maybe IDM crack au virtual dj keys!! Dah..!! Ila ni mtazamo tu.
 
Sasa, hiyo heading yako unahisi inaendana na maelezo yako au unatafu attention?
 
why don't you google it? refer your heading
 
guys tuacheni uvivu kuna problems nyingine uki search google unapata ufumbuzi fasta sio lazima kuja humu kuuliza! maana thread za misaada siku hizi ni nyingi mno tofauti na mwanzo ambapo tulikua tukipata maujuzi ya IT humu ndani kwa sana!! Tuwe wepesi kuumiza vichwa wenyewe mpaka itakaposhindikana ndo ujaribu hapa!! Mfano mtu anauliza wapi atapata maybe IDM crack au virtual dj keys!! Dah..!! Ila ni mtazamo tu.

Kweli ni Mtazamo, ujumbe umefika... Sasa sisi wa st. KAYUMBA unatusaidiaje??? UkiGOOGLE KULE VINAKUJA VIGOOGLE GOOGLE zinakuwa nyingi sana... TUVUMILIENI NDUGU ZANGU! Tu wamoja katika Kulijenga taifa letu!
 
kuwa na moyo wa kusaidia wenzako wewe...
 
Kweli ni Mtazamo, ujumbe umefika... Sasa sisi wa st. KAYUMBA unatusaidiaje??? UkiGOOGLE KULE VINAKUJA VIGOOGLE GOOGLE zinakuwa nyingi sana... TUVUMILIENI NDUGU ZANGU! Tu wamoja katika Kulijenga taifa letu!

Ndo maana nikasema mtazamo tu!! Just other way of try to help
 
guys tuacheni uvivu kuna problems nyingine uki search google unapata ufumbuzi fasta sio lazima kuja humu kuuliza! Maana thread za misaada siku hizi ni nyingi mno tofauti na mwanzo ambapo tulikua tukipata maujuzi ya it humu ndani kwa sana!! Tuwe wepesi kuumiza vichwa wenyewe mpaka itakaposhindikana ndo ujaribu hapa!! Mfano mtu anauliza wapi atapata maybe idm crack au virtual dj keys!! Dah..!! Ila ni mtazamo tu.

hapa nika vile google tu.
 
Mh jumaa24,
labda uko nje ya Tanzania?Au una connection ya bei reasonable au bure,mt akihitaji msaada-mpatie,usipotaka unanyamaza.
Mimi mtu akiomba msaada wa Elimu nadhani inabidi kumthamini kwa sababu huenda ni mwanafunzi au hana hata hiyo pesa ya kulipia 1,000/hr kwenye slow internet connection,mjuze au jinyamazie.
Kuna watu kwenye JF wanaaandika vitu vya ajabu kidunia,tunafungua kivisoma huendi hata kubishana nae-unamuacha nae awe mwana JF,lakini huyu anayekuuliza kujua ,huwezi kujua kwanini hakutaka kutumia njia ya Google -labda anaijua,nahisi njia nzuri ilibidi umwambie,unaweza pia kupata msaada kwa kupitia Google.
Asante!
 
guys tuacheni uvivu kuna problems nyingine uki search google unapata ufumbuzi fasta sio lazima kuja humu kuuliza! maana thread za misaada siku hizi ni nyingi mno tofauti na mwanzo ambapo tulikua tukipata maujuzi ya IT humu ndani kwa sana!! Tuwe wepesi kuumiza vichwa wenyewe mpaka itakaposhindikana ndo ujaribu hapa!! Mfano mtu anauliza wapi atapata maybe IDM crack au virtual dj keys!! Dah..!! Ila ni mtazamo tu.

Kwani hayo maujuzi ya itambayo ulikuwa unayapata kipindi hiko si hata google ungeweza yapata?
Aliyeandika na wewe ukiwa mmoj wa waliofaidika hakuwa na akili?
Ukiweza saidia ukishindwa nyamaza mkuu....
 
Mh jumaa24,
labda uko nje ya Tanzania?Au una connection ya bei reasonable au bure,mt akihitaji msaada-mpatie,usipotaka unanyamaza.
Mimi mtu akiomba msaada wa Elimu nadhani inabidi kumthamini kwa sababu huenda ni mwanafunzi au hana hata hiyo pesa ya kulipia 1,000/hr kwenye slow internet connection,mjuze au jinyamazie.
Kuna watu kwenye JF wanaaandika vitu vya ajabu kidunia,tunafungua kivisoma huendi hata kubishana nae-unamuacha nae awe mwana JF,lakini huyu anayekuuliza kujua ,huwezi kujua kwanini hakutaka kutumia njia ya Google -labda anaijua,nahisi njia nzuri ilibidi umwambie,unaweza pia kupata msaada kwa kupitia Google.
Asante!

Pamoja brah
 
Back
Top Bottom