Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 4,550
Hello habari wanajukwaa.
Natumaini ni wazima wa afya njema.Bila kupoteza mda naomba niende kwenye mada. Ninauhitaji mkubwa wa kujua matumizi /kujifunza kwa kina jinsi ya kutumia Google map kwa kina ila sijui pa kuanzia .Kifaa ninachotumia ni simu aina ya xiaomi redmi 7 .
Napenda kujuzwa kwa kina mfano napotaka toka point a kwenda be pasi na msaada wa mtu nafanyaje ili kuwezesha haya yoote kupitia gugo map?
Kifupi sitaki idea nahitaji darasa kamili .Asanteni wadau .
Natumaini ni wazima wa afya njema.Bila kupoteza mda naomba niende kwenye mada. Ninauhitaji mkubwa wa kujua matumizi /kujifunza kwa kina jinsi ya kutumia Google map kwa kina ila sijui pa kuanzia .Kifaa ninachotumia ni simu aina ya xiaomi redmi 7 .
Napenda kujuzwa kwa kina mfano napotaka toka point a kwenda be pasi na msaada wa mtu nafanyaje ili kuwezesha haya yoote kupitia gugo map?
Kifupi sitaki idea nahitaji darasa kamili .Asanteni wadau .