Mamserenger
JF-Expert Member
- Oct 14, 2019
- 1,157
- 2,078
Wakuu mashindwa kuzilinda Documents zangu katika Google drive.
Kwa maana Account nlio tumia kuifadhia hizo data
Mtu yeyote anaweza kuingia kupitia hii simu yangu na hata kudow load.
Nivyo naomba kuelekezwa vile mtu akitaka kuingia asione email yangu moja Kwa moja na kuweza Ku log in.
Msaada tafadhali
Kwa maana Account nlio tumia kuifadhia hizo data
Mtu yeyote anaweza kuingia kupitia hii simu yangu na hata kudow load.
Nivyo naomba kuelekezwa vile mtu akitaka kuingia asione email yangu moja Kwa moja na kuweza Ku log in.
Msaada tafadhali