Sio Chrome per say. Ukitaka kuamini nenda kwenye Chrome://flags alafu Disable Site isolationUpo sahihii...hata kwenye Simu ni hiv hiv
Na kuna mtu nilikua najadiliana nae hii asubuhi japo ilikua upande wa power, nikamtumia screenshot.
Inatumia power na RAM sana, Nilihamia opera ila nimerud maana kuna options nyingne ukiwa kwenye mtandao kufungua wana ku redirect through chrome au Mozira Firefox View attachment 1412484
Mkuu paragraph ya kwanza sijakusoma kbsaaa..Sio Chrome per say. Ukitaka kuamini nenda kwenye Chrome://flags alafu Disable Site isolation
Alafu kama unatumia Computer nenda kwenye Task manager and kill Chrome process.
Alafu open tab moja, go to www.spacejam.com. ili upunguze RAM usage kwenye website ambazo zinatumia zaidi ya MB 100
Kwenye Chrome yako hiyo ya android pale kwenye search bar ya juu kabisa Andika Chrome://flags kisha utaona tena search bar andika neno site na disable site isolationMkuu paragraph ya kwanza sijakusoma kbsaaa..
Nafikiria kuihama hii browser kama nilivyoihama Mozilla Forefox.
Ipo heavy vibaya sana. Haitaki PC zilizo na uwezo mdogo. Inakula RAM kuliko maelezo. Inakula almost 20% of RAM.
Ukiifungua na programs nzito tegemea kucrash kila mara. Nimekuwa naijaribu nimepata hayo matokeo.
Mozilla firefox ilikuwa hivihivi. Nikaikimbia.
Nafikiria kuihama hii browser.
Nipe ushauri browser ipi inakaribiana uzuri na Chrome au Mozilla.
Chief-Mkwawa
lusungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tumia Brave hutojutiaGoogle Chrome sihami japokuwa inatafuna RAM balaa. Kama una RAM ndogo tumia tu hizi lite versions kama Opera japokuwa kuna web experience utakuwa unazikosa maana vina-load site kipumbavu sana.
Kwenye PC nnayo UC Browser latest version ila nikiingia YouTube wananiletea version ya zamani sana, huwa si-enjoy sana kuitumia kama Chrome.
Kwa pc jaribu kutumia edge mpya,Nafikiria kuihama hii browser kama nilivyoihama Mozilla Forefox.
Ipo heavy vibaya sana. Haitaki PC zilizo na uwezo mdogo. Inakula RAM kuliko maelezo. Inakula almost 20% of RAM.
Ukiifungua na programs nzito tegemea kucrash kila mara. Nimekuwa naijaribu nimepata hayo matokeo.
Mozilla firefox ilikuwa hivihivi. Nikaikimbia.
Nafikiria kuihama hii browser.
Nipe ushauri browser ipi inakaribiana uzuri na Chrome au Mozilla.
Chief-Mkwawa
lusungo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio Chrome per say. Ukitaka kuamini nenda kwenye Chrome://flags alafu Disable Site isolation
Alafu kama unatumia Computer nenda kwenye Task manager and kill Chrome process.
Alafu open tab moja, go to www.spacejam.com. ili upunguze RAM usage kwenye website ambazo zinatumia zaidi ya MB 100
HakikaWe ukisema chanini wengine kwetu ndio best browser!
Ukiifungua na programs nzito tegemea kucrash kila mara. Nimekuwa naijaribu nimepata hayo matokeo.
Mozilla firefox ilikuwa hivihivi. Nikaikimbia.
Hakika edge kwa windows 10 iko vyema, nyepesi na haitumii RAM sana kama ilivyo kwa google chrome, japo zote source code zinatokana na chromiumKwa pc jaribu kutumia edge mpya,
https://support.microsoft.com/en-us/help/4501095/download-the-new-microsoft-edge-based-on-chromium
Inayokuja na ya windows 10, windows defender.Antivirus gani una run?
Compatibility na Adions na Plugins ndo shida inakuja hapo.Hakika edge kwa windows 10 iko vyema, nyepesi na haitumii RAM sana kama ilivyo kwa google chrome, japo zote source code zinatokana na chromium
View attachment 1412623