Mr. Mobile
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,439
- 1,629
Tutegemee sana hilo! Sababu tu nimeona demo jinsi itakavyokuwa na 3D face unlock na zile motion gestures zinavyofanya kazi, utaona ni jinsi gani jamaa wameamua na wapo serious kwenye ubunifu pia itakuwa more secured ukilinganisha na matoleo ya nyuma.Google walivyo na bei zao za juu...si ajabu ikauzwa Milion 3