Google Camera: Camera bora zaidi kwenye simu yako

Naanza kuwakubali.
Hivi kwanini Xiaomi wasitengeneze na kutuwekea application Kali kama hizi?
IMG_20190801_170557.jpg


00100sPORTRAIT_00100_BURST20190801170708136_COVER.jpg
 
Mbona mkuu ndio hizi hata sisi tunapiga znakua Kali tu....labda tips nyingine wenzetu wanatumia sana snapseed na lighroom kunogesha picha zaidi..mi pia nmeanza kutumia Lightroom kwenye picha za gcam..zikitoka hapo shidaa zaidiii
Fafanua plz hiyo nini sijui
 
Obvious mkuu
Mkuu nimezipakua ila sijaona tofauti. Lakini pia nimesoma kwenye hyo blog watu wengi hawajaona tofauti kati ya stock na gcam.

Ukija kwenye night mode hakuna tofauti maana update ya july kwa s10÷ iliboresha night mode cam, so hakuna tofauti ingawa mimi sio professional cameraman ila naweza kutofautisha.
 
Mkuu nimezipakua ila sijaona tofauti. Lakini pia nimesoma kwenye hyo blog watu wengi hawajaona tofauti kati ya stock na gcam.

Ukija kwenye night mode hakuna tofauti maana update ya july kwa s10÷ iliboresha night mode cam, so hakuna tofauti ingawa mimi sio professional cameraman ila naweza kutofautisha.
Piga common objects afu upload humu kama hutojali tukupe tofauti wenda huna jicho la Camera.
 
Mkuu nimezipakua ila sijaona tofauti. Lakini pia nimesoma kwenye hyo blog watu wengi hawajaona tofauti kati ya stock na gcam.

Ukija kwenye night mode hakuna tofauti maana update ya july kwa s10÷ iliboresha night mode cam, so hakuna tofauti ingawa mimi sio professional cameraman ila naweza kutofautisha.
Tunaomba sample ya hzo picha tujiridhishe
 
Back
Top Bottom