Haihitaji maelezo kwakweli hahaha😄😄
Dah, jibu nimepata baada ya kusoma uzi hadi mwisho,, kumbe tecno not supportSio yoyote
Una simu gani?
HahhahaahaaDah, jibu nimepata baada ya kusoma uzi hadi mwisho,, kumbe tecno not support
Mkuu samsung note 4 nimekosa. Hakuna namna nyingine?Sio yoyote
Una simu gani?
Afadhali kabisa, alikuwa amenicheka hapo juuHii haisapport mkuu

Nipe app nyingine ya camera ambayo iko vizuri zaidi mkuuHii haisapport mkuu
Kwahiyo tumefanana sioAfadhali kabisa, alikuwa amenicheka hapo juu![]()



Kabisa mkuu, kilichobaki ni kupush tu,, maana hayo ma app mengine hamna kituKwahiyo tumefanana sio![]()