Eh kwaheli. Maana androi 8 ni mpaka kompyuta ihusike, kitu ambacho sikitaki.Ni process mkuu,Yani kwanza kufanya hilo zoez la camera 2 api inataka simu kwanza iwe rooted,,sasa ww umeroot hiyo simu?
Mkuu naomba link ya j7 core mkuu nami nifurahie ulimwengu wa gcamView attachment 1098453
Mkuu kama simu haipo rooted hili zoez halifanikiwi???Mkuu ku enable camera 2 api ni process ,inatakiwa simu yako iwe rooted kufanya hilo zoezi..sasa ww simu yako ipo rooted?
Kwa hiyo tulio na huawei p20 tupite kama tunaaga marehemu nnHuawei mkuu anatumia kirin na sasa sjaona bado mod ya kirin
Mkuu kcamp.Mkuu ku enable camera 2 api ni process ,inatakiwa simu yako iwe rooted kufanya hilo zoezi..sasa ww simu yako ipo rooted?
6.0.1 mkuuIna android version gani?
Mkuu kcamp.Kabisa mkuu...tena ukipata root ya magisk itakua poa sana
Hapana mkuu. Nawekaje hiyoUmeweka custom rom?
Kuna hasara nyingi kuliko faidaMkuu kcamp.
Naomba nihudhurie darasa la kuroot Simu kwanza najua ntalikuta jukwaa la Tech.
Kazi inabaki kwangu.
Hapana sikutest unatest vipi mkuuHivi ulitest kwanza kuangalia camera api?