Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,890
- 13,186
Laiti kama huu utaratibu angekuwa ameomba mbunge wa upinzani bila shaka angetolewa nje
Kina inachotafuta weweKwa Hiyo Mnyika anamfanisha Nani Na mflme Nebkdreza ?
Halafu anajua kabisa anafanya mzaha ktk jambo nyeti kabisa!hovyooooooooooooo!Kwa Hiyo Mnyika anamfanisha Nani Na mflme Nebkdreza ?
Hivi huko Ulanga hakuna watu? Yaani mnachagua kituko kuja bungeni? Shame on you guys!!Yaani mbunge anaomba muongozo eti Mnyika kavaa nguo kama Trafki, duhh kweli hatari.
Mbunge la kijinga hiliMbunge Limekuwa Km Kikao Cha Ccm
Huyu dogo wa Ulanga atakuwa mzima kweli kiakili?