Goodluck Gozbert sio mwimbaji wa Gospel

Habari wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada, kama tujuavyo neno Gospel maana yake ni Habari njema kwa watu wote (kutokana na imani ya kikristo). Na kuna waimbaji wengi (hatuwaiti wasanii maana hamna usanii kwenye dini) wanaimba kama njia ya kumtumikia Mungu.Wapo wengi kama kina Bahati Bukuku, Rose Muhando,Christina Shusho n.k

Mwanzo nilikuwa nasita kupinga kuwa Goodluck gozbert sio muimbaji wa Injili ila ni mziki wake ni wa Bongo flavour tu. Hili linajidhirisha vyema kupitia nyimbo yake ya 'Nibadilishe' ambayo ndani yake mahadhi ya nyimbo na style za kucheza hazitofautiani na zile za kina Harmonise, Diamond, Burna Boy n.k. Hii inaniaminisha kuwa huyu si muimbaji wa gospel bali anafanya Bongo flavour kwa kivuli cha dini. Kama hujaona wimbo huo...Angalia kwenye link hapa chini....



Sent using Jamii Forums mobile app

haya msabato umesikika, kapike chakula chenu, kande, ule ujambe ulale, acha sisi tusikilize "nibadilishe"
 
Kwa hiyo wewe huu wimbo ndio umeujua leo?. Pathetic.

Music ni music tu. Hakuna cha gospel wala nini. Kwani Bahati Bukuku ana tofauti gani na Mondi?
Habari wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada, kama tujuavyo neno Gospel maana yake ni Habari njema kwa watu wote (kutokana na imani ya kikristo). Na kuna waimbaji wengi (hatuwaiti wasanii maana hamna usanii kwenye dini) wanaimba kama njia ya kumtumikia Mungu.Wapo wengi kama kina Bahati Bukuku, Rose Muhando,Christina Shusho n.k

Mwanzo nilikuwa nasita kupinga kuwa Goodluck gozbert sio muimbaji wa Injili ila ni mziki wake ni wa Bongo flavour tu. Hili linajidhirisha vyema kupitia nyimbo yake ya 'Nibadilishe' ambayo ndani yake mahadhi ya nyimbo na style za kucheza hazitofautiani na zile za kina Harmonise, Diamond, Burna Boy n.k. Hii inaniaminisha kuwa huyu si muimbaji wa gospel bali anafanya Bongo flavour kwa kivuli cha dini. Kama hujaona wimbo huo...Angalia kwenye link hapa chini....



Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada, kama tujuavyo neno Gospel maana yake ni Habari njema kwa watu wote (kutokana na imani ya kikristo). Na kuna waimbaji wengi (hatuwaiti wasanii maana hamna usanii kwenye dini) wanaimba kama njia ya kumtumikia Mungu.Wapo wengi kama kina Bahati Bukuku, Rose Muhando,Christina Shusho n.k

Mwanzo nilikuwa nasita kupinga kuwa Goodluck gozbert sio muimbaji wa Injili ila ni mziki wake ni wa Bongo flavour tu. Hili linajidhirisha vyema kupitia nyimbo yake ya 'Nibadilishe' ambayo ndani yake mahadhi ya nyimbo na style za kucheza hazitofautiani na zile za kina Harmonise, Diamond, Burna Boy n.k. Hii inaniaminisha kuwa huyu si muimbaji wa gospel bali anafanya Bongo flavour kwa kivuli cha dini. Kama hujaona wimbo huo...Angalia kwenye link hapa chini....



Sent using Jamii Forums mobile app

Kama anamtaja Yesu ni gospel..mbona mchungaji wako ana nyumba ndogo ebo
 
Huwez kusema anaimbaa gospel kwa mfumo ule huko ni kushabikia tu
Ni msanii anayeteka attention ya watu wa pande mbili wanaotaka habari za gospel na wasiotaka
Dhumuni kubwa LA usanii wake pia ni biashara zaidiii
Kiufupii yupo kimasilahii zaidiii kulikoo gospel .....
Hiii kuudanganya uma nipo huku na sipo hukuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wana JF,
Moja kwa moja kwenye mada, kama tujuavyo neno Gospel maana yake ni Habari njema kwa watu wote (kutokana na imani ya kikristo). Na kuna waimbaji wengi (hatuwaiti wasanii maana hamna usanii kwenye dini) wanaimba kama njia ya kumtumikia Mungu.Wapo wengi kama kina Bahati Bukuku, Rose Muhando,Christina Shusho n.k

Mwanzo nilikuwa nasita kupinga kuwa Goodluck gozbert sio muimbaji wa Injili ila ni mziki wake ni wa Bongo flavour tu. Hili linajidhirisha vyema kupitia nyimbo yake ya 'Nibadilishe' ambayo ndani yake mahadhi ya nyimbo na style za kucheza hazitofautiani na zile za kina Harmonise, Diamond, Burna Boy n.k. Hii inaniaminisha kuwa huyu si muimbaji wa gospel bali anafanya Bongo flavour kwa kivuli cha dini. Kama hujaona wimbo huo...Angalia kwenye link hapa chini....



Sent using Jamii Forums mobile app

Vipi nyimbo za Nibebe, utamu wa yesu, zile style na mapanga na viduku ni vya wapi au nayo haikuwa Gospel. Gospel ni kama mziki wowote ule. Unapitia transformation. Ukichukua Gospel ya miaka ya 1800 haifanani kabisa na ya miaka 1900, na haifanani ya miaka 2000 na haifanani na ya leo.
Technology inabadilisha kila kitu, kuanzia mapigo ya mziki, rthym, videos na kila kitu. If you live in the past the future will never find you.
Hivi mfano mtu ambaye hakuwa anaelewa Kiswahili angeona nyimbo ya Rose Mhando nibebe, si angefikiria ni miondoko ya Yondo Sister?
 
Back
Top Bottom