FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 7,627
- 9,321
Hata wakijulikana utawafanyaje bdo Wako powerfulWasiojulikana sasa wanajulikana mmoja mmoja.. Mungu mkubwa sana
Hata wakijulikana utawafanyaje bdo Wako powerfulWasiojulikana sasa wanajulikana mmoja mmoja.. Mungu mkubwa sana
Ikiwezekana ileteni na huku.Picha yake ipo Tweeter
kwa maagizo ya magufuli, unavyoandika it's as if una vithibitisho kama vyote.
Goodluck, Mahita na Jumanne, wote hao ni dhahiri ndio miongoni mwa watesaji na wauaji.Sio huyo tu, hata huyu mtoto wa Mahita ametajwa kuwepo Tabora wakati wa hii operation. Na ndio huyo huyo alikuwa Kilimanjaro kuwashughulikia kina Adamoo. Ndio hawa wasiojulikana wanaozurura nchi nzima kutesa Watanzania.
Mungu aendelee kumbariki Zakaria wa Tarime kwa namna alivyoshughulika nao walipoingia anga zake.
Huko nyuma kwenye maji, bila shaka kuna mamia ya maiti.
Watu wa huko Arusha wafanye juu chini wapige kiberiti hicho kibanda umiza chake.Anamiliki grocery jirani na ofisi za marangu coach
Ndivyo wauaji walivyo. Akiwa na sura ya kutisha, atawapataje kiurahisi? Simba na ngiri, nani ana sura mbaya?Mbona hafanani na ukatili anaofanya? Amekaa kama mchungaji.
Kabisa aiseeWewe ni mku.ndu kama huyo Badluck. Ipo siku atakalipia. The karma is bitch!
AiseeHuyu Good luck ni mmoja wa askari waliokuwa kwenye lile kundi la Magufuli la watu wasiojulikana. Huyu na wenzake ndio waliokuwa wanateka watu, kuwaua na kuwafunga mawe na kuwatupa baharini. Wamepanga na kuendesha operation za kikatili sana kwa wale wote waliokuwa wanaipinga na kuikosoa serikali ya Magufuli. Kwa sasa yeye na wenzake wanaweza kuendelea kuwa salama kwani waIitekeleza unyama ule kwa maagizo ya Magufuli. Ila iko siku kundi hilo na uchafu wao utakaa wazi na watakutana na mkono wa sheria. Huyu Goodkuck atakuwa anajua vizuri sana nani walimshambulia Tundu Lisu, waliomteka Ben Saanane, Azory Gwanda nk. Na kama wamezikwa anajua ni wapi.
Shetan katika sura ya binadamu
Utakutwa ulipo tulia hapohapoAskari atafanya bila maagizo yake? Au unadhani ni mambo yaliyo sirini sana nini?
Siku utaingia 18 za kifaa hicho ndio utajua kama kinatesa au laaNi kifaa Cha kutesea magaidi
Mi sio gaidiSiku utaingia 18 za kifaa hicho ndio utajua kama kinatesa au laa
Kwani hao wengine imekuwake?Mi sio gaidi
Wauaji wengi huwa na sura za upole na ni wachangamfu kwelikweli, ila wakibadilika ni hatari wanakuua muda wowote hasa pale wanapopata maelekezo kutoka juuShetan katika sura ya binadamu
Bro funguka kidogo halafu uni tagHuyu jamaa cv zake tafuta ostabey polisi na walikuwa kitengo maalumu !.kilifanya mambo ya ajabu sana ila kwenye kundi lake wengi wana kesi ya unga kipindi cha makonda kuwa mkuu wa mkoa.na wengine wana pesa hata IGP ana subiri
Fanya hima tuwajue watesi wetu kwa suraNtazileta badae