Kwani huyo ndio badluck au ndio King'aa au sehemu ya co Yao ya utekaji, utesaji na ubambikiajiš¤.Tulia taga wewe
Kwani huyo ndio badluck au ndio King'aa au sehemu ya co Yao ya utekaji, utesaji na ubambikiajiš¤.Tulia taga wewe
Kiuno
Bro fanya kosa mtaani kama hutoona picha yako humu. Humu mna watu wengi ukitumia watanzania wanaojitambua kama denominator. Kama hiyo 0.005% uliyosema inahusisha watoto na wale akina bibi kijijini ambao hata hapo kijijini hawajui kinachoendelea utakuwa umekosea. Unaweza sema JF ina asilimia ngapi ya intellectuals lakini usitumie population yote hadi wale wanaonyonya.Wewe na wachache waliyo humu JF siyo nchi nzima. wala siyo hata 0.005% ya nchi. Isitoshe haya hapa ni maongezi yasiyo na uhakika wowote. Hakuna anayemjuwa huyo Minja au kweli anaitwa Minja. Wakati mwingine mi hatari kutoa picha za watu eti unadhani ndiyo mtesaji. Kuna mtu ambaye anajuwa 100% mtesaji anaitwa Minja. Je, kuna mtu ana 100% uhakika hiyo picha iliyoletwa ni ya Minja. Ebu tuseme, kwa mfano, hiyo picha siyo ya Minja na kakatokea zobezobe wa kujitoa mhanga wa CHADEMA akampiga risasi mtu ambaye siyo! "How are you going to reconcile that"