Goodbye Mr.President, Tutakumiss!

Goodbye Mr.President, Tutakumiss!

Barbarosa

JF-Expert Member
Joined
Apr 16, 2015
Posts
22,584
Reaction score
27,838
Kwa heri Mr.President, karibu Trump mzee wa kazi ,,Make America Great Again"!

2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


2,w=649,q=high,c=0.bild.jpg



2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg



2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg


2,w=993,q=high,c=0.bild.jpg
 
mambo ya kucheza cheza muziki ikulu dunia imeyachoka... inataka watu wa kazi... huku msoga sasa chato.. kule obama sasa mzee trump... marekani wajiandae kuisoma namba
 
Nitamiss mapicha jamaniiiiiii.
Hii familia naipenda sana.


Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
 
Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
huu nadhan ni uzushi tu...otherwise uthibitishe hapa kwa picha kwamba ulishawahi kuziona nyeti zake live
 
halafu mbona kuna picha zake za utotoni tena nyingine kakiwa kadogo kabisa kamepakatwa na mamake kakiwa ka kike...zingine kapiga yeye na kaka ake craig.....
mkuu Barbarosa hebu tupe ufafanuzi kidogo
Kuna watu wanapenda sana conspiracy theories kiasi kwamba kila kitu wanahisi kuna upande wa pili
 
Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
Hivi Michelle Obama ni mwanaume maana hii si mara ya kwanza kusikia.
 
Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!


Long ago, you ruined your reputation, umekuwa papparazzi tu..!! Unaandika ujinga saana kuhusu Michelle, this shows how arrogant you are, you are nasty, immoral.. did you do transgender to Michelle..? Nonsense..!!
 
Aliingia akiwa kijana sasaiv chokest...kwishaaa
 
mambo ya kucheza cheza muziki ikulu dunia imeyachoka... inataka watu wa kazi... huku msoga sasa chato.. kule obama sasa mzee trump... marekani wajiandae kuisoma namba
Obama mtu wa kazi, kazi na dawa. Ila Republicans hawakutaka afanye kazi itakayeweka kumbukumbu ya Kiongozi(Rais) mweusi katika taifa la Marekani.
 
Long ago, you ruined your reputation, umekuwa papparazzi tu..!! Unaandika ujinga saana kuhusu Michelle, this shows how arrogant you are, you are nasty, immoral.. did you do transgender to Michelle..? Nonsense..!!
"Don't mind him,he is confused,he is insane."
 
Back
Top Bottom