Renegade
JF-Expert Member
- Mar 18, 2009
- 7,346
- 7,169
Am sorry, Barbarosa, but still searching.Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
Am sorry, Barbarosa, but still searching.Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
Yani hapo hotuba zote ni kuwamulika wapiga dili tuu mwanzo mwishomambo ya kucheza cheza muziki ikulu dunia imeyachoka... inataka watu wa kazi... huku msoga sasa chato.. kule obama sasa mzee trump... marekani wajiandae kuisoma namba
Sio ya baba Jesca....??Nitamiss mapicha jamaniiiiiii.
Hii familia naipenda sana.
Tehehehe hehe, kweli CCM ina viumbe wa kila aina.Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
Kwanini Barbarosa, mbona wakina Trumputin wana hate collour ya ngozi yake?Obama siyo mtu mweusi!
Kwanini Barbarosa, mbona wakina Trumputin wana hate collour ya ngozi yake?
Kwa case hiyo nimekuelewa, maana yake Obama sio mzungu wala Mwa-Afrika, rejea waafrikana wa south.Hata Waafrika pia wangembagua Obama, hivyo usiangalie wengine tu, Obama angegombea Kenya au Tanzania asingepita kwani tungemuita Mzungu, rejea kwa nini Hans Pope tunamutita Kaburu?
Una ushahidi mkuu wa hio transgender ?Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
Nyuki wameingia DiscoGeto limeingiliwa na siafu
Huyo Transgender alikufanya nn mkuu?Hiyo siyo familia kama tujuavyo familia yaani Baba, Mama na Watoto, huyo Michelle ni Mwanaume, au kwa neno la kisasa transgender!
Huenda alimla mande mkuuKashfa tu huna lolote wewe, kaa Lumumba huko uambulie hata hiyo buku 7