Good old days

Hongera mkuu,.

Kweli nimeamini kupunguza uzito sio KAZI nyepesi
 
Unaangalia vyakula unavyokula tu
Mchawi ni chakula....kwa % kubwa you are what you eat

Ama unatumia uzazi wa mpango mfano vijiti? Sindano/vidonge
Situmii uzazi WA mpango,
Hapo kwenye mpangilio WA chakula inabidi mnisaidie kiutaalamu zaidi ratiba niiwekeje na vyakula vya Aina gani Nile vipi nisitumie
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…