Pole sana ndugu na jamaa wa marehemu...wote tumehuzunika...R.I.P DADA YETU MPENDWA.
Hapo kwenye red naamini ulitaka kumaanisha "Her"..........Inauma sana, lakini lazima tukubali ukweli kuwa, maisha ni lazima yasonge mbele! RIP Chetuntu my friend!