DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,129
Chama cha Wananchi CUF kimesema endapo kitaingia madarakani kitahakikisha kinapambana na utekaji wa watu nchini ikiwemo na kuhakikisha kinaimarisha vyombo vya ulinzi na usalama.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Mwanza mgombea urais kupitia CUF Gombo Samandito Gombo amewaomba watanzania kukichagua chama hicho ili kiweze kuimarisha ulinzi.
Katika hatua nyingine Gombo amesema chama hicho kinajitosheleza na kimejipanga vizuri kukitoa chama cha Mapinduzi CCM madarakani.
Akizungumza na waandishi wa Habari jijini Mwanza mgombea urais kupitia CUF Gombo Samandito Gombo amewaomba watanzania kukichagua chama hicho ili kiweze kuimarisha ulinzi.
Katika hatua nyingine Gombo amesema chama hicho kinajitosheleza na kimejipanga vizuri kukitoa chama cha Mapinduzi CCM madarakani.