Jindal Singh
JF-Expert Member
- Sep 9, 2015
- 1,853
- 1,521
Simba mnasemaje? lile bao la ajib kamwe halitoweza kufungwa kwa msimu huu wa 18/19 na tayari Azam tv washaanza kulitia katika matangazo.
Wewe hata ukiwa ndani ya sita na golikipa asiwepo utakosa tuAlikuwa free sana yupo mwenyewe,lile hata mi naweza kulipiga nikiwa nimelewa
Ila alikuwa free sanaWewe hata ukiwa ndani ya sita na golikipa asiwepo utakosa tu
ulitaka awe na kagere ndo goli liwe kali, ajibu ni dunia nyingine huwezi mfananisha na kagereAlikuwa free sana yupo mwenyewe,lile hata mi naweza kulipiga nikiwa nimelewa
Tusubiri mwisho wa msimu nani atakuwa mfungaji boraulitaka awe na kagere ndo goli liwe kali, ajibu ni dunia nyingine huwezi mfananisha na kagere
hahaahaha na huko nje ya dar tukishinda utarudi kusema nasubiri mkitoka kimataifa muone mtakavyo pingwa.Yanga kwa kujinadi ufala nawahesabia masiku tu nazani mmebakisha mechi nne kama sio tano za dsm muanze kuenda machinjioni
...Yanga gani ile iliyoparanganyika ilipocheza na Simba juzi. Utamu wa ligi mtauona mikoani.hahaahaha na huko nje ya dar tukishinda utarudi kusema nasubiri mkitoka kimataifa muone mtakavyo pingwa.
kifupi yanga utasubiri sana, huko nje tutawapiga kama tupo taifa tu.
Hiyo hiyo mkuu, imeparaganyika na bado ika suluhu na kikosi cha bil. 1 sijui ikitengemaa unategemea nini? haya ni maneno tu huko mikoani tunateleza tu na mtakuja sema subiri mkienda club bingwa/shirikisho...Yanga gani ile iliyoparanganyika ilipocheza na Simba juzi. Utamu wa ligi mtauona mikoani.
Ajibu atamfanya kagere apige tik tak hata kama ni penati.Alikuwa free sana yupo mwenyewe,lile hata mi naweza kulipiga nikiwa nimelewa
Kwani yanga haijawahi kucheza mikoani tangu dunia ianze?...Yanga gani ile iliyoparanganyika ilipocheza na Simba juzi. Utamu wa ligi mtauona mikoani.
Ronaldo alipiga lakini halikugonga mtambaa panya, hili goli hakuna kabisa katika historia ya ligi kuu tz.Goli limekonga nyoyo...,
mkuu hapa tunazungumzia vitu adimu na adhimu katika SOKA wewe unazungumzia tukio la kawaida sana tena sio kwenye soka ni kwenye KABUMBUMi nakumbuka kona ya kichuya..