Baada ya kipigo cha bao 5 - 0 Jamaa ambaye ni mpenzi wa Yanga wakati anaita watu kuja kusali msikitini (adhana) alfajiri, wakati akiwa busy, mpenzi wa Simba akapita na kumpa ishara ya 5, jamaa kwa hasira akawa anaendelea kuadhini kwa nguvu na sauti kubwa huku akimuonyesha mshabiki wa Simba ishara kusugua mkono