Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,949
- 4,442
Hapa sijui wese limeisha alienda kununua kwenye kudumu au ndo betri down
Jamani mapolisi mnatia aibu sasa hapo ikitokea dharura si ndo balaa
Ndo maana huwa mnafika maeneo ya matukio baada ya saa 1 mpaka mshtue defender zenu
Lakini nashangaa kwenye Maandamano huwa mnafika mapema hata kabla ya mda wa maandamano
Tuseme ndo usongo wa kupiga watu virungu na mabuti?
Au fraha yenu kuona watu wanahangaika kutafuta maji kuosha nyuso zao kwa maji ya pilipili?
Badilikeni jamani kwanza huyu afande hapo juu ilitakiwa ashtakiwe kwa kumpa ajira mtoto wa shule ya msingi.