Golds zinaendaga wapi au ziko wapi?

Golds zinaendaga wapi au ziko wapi?

Dhahabu inapelekwa kwenye sayari ya Nibiru!! ili kuzuia mialai ya mwanga wa jua!! unao gonga mojakwa moja kwenye sayari yao! na kuharibu mazingira!

kifupi ni kuwa Nibiru Mazingira yao yameharibika mnoo kutokana na matumizi mabaya ya ardhi, mpaka kutishia uhai wao!! Sayari pekee yenye neema ni Dunia! na il watunze sayari yao ya Nibiru inabidi wawe na madini ya dhahabu!!

Yanatumikaje /afanyaje;

Haya madini ya Dhahabu yana reflect sun Rays hivo kuzuia athari kwenye us wa Nibiru planet, Annunakis hawa ndo wafadhili wakubwa wa manunuzi ya dhahabu wanabadilishana na siraha! na kuna

agents wengi weupe wazungu Duniani, na wengine ni viongozi wakubwa kama, Merovengiani families, Maquees de libex, Kennedy family, nk Queen Elizabeth wa uk. ni Annunaki agent yule!! na wana zaliana by blood hawatoki nje yao!

wao wanampa mzungu siraha na vifaa ili yeye mzungu awe anawachimbia annunaki dhahabu, na ku control Dunia kwa matumizi yao hawa Anunaki ndo wanafanya bei ya dhahabu kupanda Duniani. lkni ni siri ya wazungu!

Umewahi kujiuliza kwa nini Africa hatununui dhahabu au kuwa na matumizi ya dhahabu??? SHINYANGA NA MWANZA, TARIME NYAMONGO! yaani wenyeji wamelala fofofooo! hawajui!

Lkn mpaka mwaka 2o50 wata stop kununua tena!! hata mfanyeje weusi nyie hamta jua matumizi ya hiiz dhahabu zenu....Saddam alijipendekeza kuwajua ANNUAKI alichokipata hkn asiye jua humu!

Matumizi ya dhahabu ni dhana fiche wachache sana tunajua haya, hata ivo wananitafuta kwa kutoa siri hii ila hawa niwezi mie!....haiwezekani dhahbu ichimbwe migodini huko usiku na mchana bila kikomo!
Nyie mnaitaji fimbo nyingi
 
Nyie mnaitaji fimbo nyingi
kajifunze kuandika vizuri wewe,inaonekana una shule ndogo Ndio maana Kila kitu tunachowasilisha kwako ni kigeni,mbona Wengine wanatuelewa na wanaelewa Nini tunamaanisha Humu,unaona wanabwabwaja kama wewe Humu?
Jitahidi ufiche ujinga hakuna Mtu alikufanya ukimbie shule,ila Bado una nafasi ya kutafuta maarifa mengine mengi zaidi,
I believe una wakati mzuri hujachelewa
Masomo mema Kijana!
 
Waulize Ile dhahabu aliyomiliki Mansa Musa Kankan ilipotelea wapi?
Na Waulize kilichomkuta baada ya kugawa dhahabu kama njugu kutoka Mali empire Mpaka Mecca mwisho wake ulivyokua,huwezi chezea Mali za viumbe Hatari kiasi kile halafu wakuache salama salimini!
Daaa!! una kitu hapa mkuu hebu nimegee kidogo hapo!! na kweli Mansa Musa alikuwa tajiri kufuru na mnooo wa dhahabu!!......
 
Daaa!! una kitu hapa mkuu hebu nimegee kidogo hapo!! na kweli Mansa Musa alikuwa tajiri kufuru na mnooo wa dhahabu!!......
daaa sina mengi ndugu yangu zile dhahabu zilienda Kwa wenyewe,
Maana baada ya pale ufalme wake ulisambaratika watu wakagawana Mbao na dhahabu zikayeyuka fyuuuuuu
Leo hata uende chimba na kufukua karibu na sehemu ilipokua ngome yake huoni hata masalia ya dhahabu wakati tunajua Kuna vile vizee vinafukiaga Mali chini ya ardhi majumbani kwao et Leo watafiti Wanachimba wanaambulia vyungu,mikuki na mundu
Inakuja kweli hata kipande Cha gold kuonesha ushahidi hakuna Yani!
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom