Gödel's Incompleteness theory inamaanisha nini?

Maziku-Winston Smith

JF-Expert Member
May 17, 2015
296
167
Habari za humu ndani.

Miongoni mwa vitu ambavyo nimewahi kuvisikia na kushindwa kuvielewa ni hii iitwayo "Gödel's incompleteness theory" ambayo licha ya kupitia sehemu mbalimbali kama Youtube na Wikipedia nimeshindwa kuielewa.

Nahitaji msaada wa kueleweshwa kwa kina zaidi kwa yeyote yule ajuaye zaidi kuhusu hili maana inasemekana kwamba hii nadharia imeweka vikwazo kwenye hisabati.
 
Habari za humu ndani.

Miongoni mwa vitu ambavyo nimewahi kuvisikia na kushindwa kuvielewa ni hii iitwayo "Gödel's incompleteness theory" ambayo licha ya kupitia sehemu mbalimbali kama Youtube na Wikipedia nimeshindwa kuielewa.

Nahitaji msaada wa kueleweshwa kwa kina zaidi kwa yeyote yule ajuaye zaidi kuhusu hili maana inasemekana kwamba hii nadharia imeweka vikwazo kwenye hisabati.


Funguka zaidi ili watakaokusaidia wapate pa kuanzia, unachokifanya ni kama mtoto wa Shule anayetaka afanyiwe kazi yake aliyopewa na Mwalimu bila ya kujaribu kwanza mwenyewe, hivi elezea kidogo, ...
 
Namna ya kukuelewesha ni kukupa mfano hai. Kwa mfano kwenye calculator yako tafuta jibu la 1/3, hata kama simu yako ingeweza kuonyesha tarakimu milioni 1, bado jibu litakua incomplete; na hapo ndipo incompleteness inapoanzia, ila wewe sio kilaza maana ile kuattempt tu kujua ni juhudi kubwa mno umefanya, maana mimi mwenyewe ndio mara ya kwanza nakutana na hii concept katika huu uzi wako, nikazama google kwa kama dk 10 hivi, ndio nimeambulia hicho nilichokupa hapa, ila issue iko very deep, unahitaji several weeks of deep research kuambulia cha maana.
 
Namna ya kukuelewesha ni kukupa mfano hai. Kwa mfano kwenye calculator yako tafuta jibu la 1/3, hata kama simu yako ingeweza kuonyesha tarakimu milioni 1, bado jibu litakua incomplete; na hapo ndipo incompleteness inapoanzia, ila wewe sio kilaza maana ile kuattempt tu kujua ni juhudi kubwa mno umefanya, maana mimi mwenyewe ndio mara ya kwanza nakutana na hii concept katika huu uzi wako, nikazama google kwa kama dk 10 hivi, ndio nimeambulia hicho nilichokupa hapa, ila issue iko very deep, unahitaji several weeks of deep research kuambulia cha maana.
Nashukuru sana kwa mchango wako.
 
Back
Top Bottom