marandu2010
JF-Expert Member
- Aug 7, 2010
- 1,201
- 446
Nipo dar,shukrani.
Guys kuna vitu ambavyo mtu hupaswi kununua mtumba, mfano magodoro na vitanda. Huwezi jua waliokuwa wanalala walikuwaje kiafya, au madhambi gani walikuwa wanafanyia humo! Maduka yamesambaa kila kona yanauza bidhaa za aina hiyo, kwanink usiende ukanunue?
Bado linahitajika.
Mi nnalo la tanform ila ni la toka 2011 utalitaka,nipo tanga