Godbless Lema yuko wapi? Tokea Lissu akamatwe yupo kimya

Godbless Lema yuko wapi? Tokea Lissu akamatwe yupo kimya

heche anafanya vikao kwa kificho, ana record kwa tecno, no more media coverage, wakumbuke wale ziro wawili ni vijana wa wale wajeda wawili na bado wana amri
 
Huyu Heche naye haeleweki. Anasema miaka 60 hamna kitu kimefanyika halafu hapo hapo anadai amesoma hadi chuo kikuu. Sasa hicho chuo nani kajenga kama hakuna kitu kilichofanyika tangu uhuru? Yaani katika wanasiasa uchwara huyo naye ni mmojawapo.
Watoto wa 2000 mnashida kweli, Unajua chuo kikuu kimoja tu dunia nzima?
 
Umenifanya nicheke.
Lema ni mujanja sana.
Atakua namanga akitafuta mwanya wa kusepa
🤣🤣🤣🤣🤣

Katika safi ya juu ya uongozi wa chadema wa Sasa, hamtoaniamini lakini nawaapia lofa pale ni lissu peke yake; wengine pale wote wajanja wajanja.
 
🤣🤣🤣🤣🤣

Katika safi ya juu ya uongozi wa chadema wa Sasa, hamtoaniamini lakini nawaapia lofa pale ni lissu peke yake; wengine pale wote wajanja wajanja.
wenje mnyika na lema nawaona wanavyosepa
 
Back
Top Bottom