yupo, anatafakari what next! Yule hawezi kukimbia sasa wameshajitoa mhanga! OUR HEROES!Wandugu mwenye taarifa aliko lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea
Ingia Twitter Kwa Sasa XWandugu mwenye taarifa aliko lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea
Navyomjua atakua yuko namanga anatafuta njia ya kutorokeayupo, anatafakari what next! Yule hawezi kukimbia sasa wameshajitoa mhanga! OUR HEROES!
Twutter si world wideIngia Twitter Kwa Sasa X
Kwani wewe upo wapi?! Tuambie ulipo nami nikwambie alipo lema.Wandugu mwenye taarifa aliko lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea
Anausoma upepo akiona nae wanaweza kumrukia anaingia kenya hapo halafu chaap anaamsha Canada anasikilizia pakipoa anarudi tenaNavyomjua atakua yuko namanga anatafuta njia ya kutorokea
Taarifa zinaonesha passport yake imegongwa mhuri jana anaenda ughaibuni. Reason: To visit the family!Wandugu mwenye taarifa aliko Lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea
😄😁😄😁😁Taarifa zinaonesha passport yake imegongwa mhuri jana anaenda ughaibuni. Reason: To visit the family!
keshasepa, to "visit family"Anausoma upepo akiona nae wanaweza kumrukia anaingia kenya hapo halafu chaap anaamsha Canada anasikilizia pakipoa anarudi tena
Subiri jogoo la tatu liwikeWandugu mwenye taarifa aliko Lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea
Sahihi kabisahuyu ndo yuda, ndo aliyemsonteshea jamaa
Ameandamana mitandaoni huja muona?Wandugu mwenye taarifa aliko Lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea
Atakuwa anafuatilia michango ya tone tone kwanza achukue chake mapemaaaa.......just in case.Wandugu mwenye taarifa aliko Lema atujuze maana tangu Lisu akamatwe alionekana kesho yake na baada ya hapo kimyaa ingawa operation no reform ikiwa inaendelea