Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Makonda atajibu
Alikuwa NairobiMbona nilisikia Aghakhan hawapokei hizo bima zamani sana!au Mh alikua hajui
Mbona nilisikia Aghakhan hawapokei hizo bima zamani sana!au Mh alikua hajui
Nimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
View attachment 623280
Tuelimishane tu kukataliwa Kutibiwa kwa kutolipwa Mtoa Huduma hakuna kabisa na uhusiano wa uchumi kupata. Labda tu tungeambiwa sababu za . kutolipwaNimempeleka mtoto Agakhan Hospital kutibiwa , Bima (NHIF) imekataliwa kwamba hawajalipwa fedha zao kwa muda sasa. Uchumi unakuwa kwa kasi.
View attachment 623280
Hawa jamaa wamepigwa embargo na NHIS kwa sababu walikuwa wanabambika ankara kwa malipoMbona nilisikia Aghakhan hawapokei hizo bima zamani sana!au Mh alikua hajui
wanakubali ww mm natibiwa sana aghakan ,,tatzo aghakan wanaangalia bima kama ipo active kama haipo active hautibiwi maana yake inakuwa haijalipiwa kadi yakoLema Muongo Muongo
Aghakhan hawakubali NHIF, Kama kweli kakataliwa ni kwa sababu hiyo sio mambo ya Fedha aende TMJ au Regency