Godbless Lema: Nimempekala Mtoto Agakhan Hospital Bima (NHIF) Imekataliwa!!



Hilo lipo hospital nyingi sana

Huko kwenye hiyo mifuko ya jamii kumekopwa haswa.
Hospital nyingi wanadai hawajalipwa hela kutoka huko kwenye hiyo mifuko sasa wanashindwa kuendelea kuwahudumia wagonjwa wanaitumia aina hiyo ya huduma inabidi wawahudumie wale wa cash cash.

Pesa mbele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…