Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,639
- 1,741
Sahihi kikwete rais mstaafu anaupendo na wananchi wake ilo alilionesha wazi tangu akiwa madarakaniMzee Kikwete baba wa hii nchi upande wa demokrasia.
Sahihi kikwete rais mstaafu anaupendo na wananchi wake ilo alilionesha wazi tangu akiwa madarakaniMzee Kikwete baba wa hii nchi upande wa demokrasia.
Alithibitisha kwa vp? Maana ni yeye ndio aliyetangaza rasmi kifo cha Magufuli kwa mara ya kwanza na kueleza sababu ya kifo ambayo haikuwa corona, sasa hiyo mara ya pili kusema kifo cha Magufuli ni corona alithibitisha vp? Asije tena mara ya tatu akasema ni malaria...Jpm hakuuwawa, alikufa kwa corona.
..Maza alithibitisha wakati wa Royal Tour.
Sasa kwanini alitaka iwe siri hayo mazungumzo yake na Lema?Kumbe hua hufikirii hata kidogo.
Kikwete alikua rais, na wakati akiwa rais alikua rafiki na aliweza kuteta na kila mtu awe mpinzani. ALIKUWA BABA NA MLEZI, MSIKIVU na ndo mtu ambae ni approachable na mwenye uwezo wa kuongea na kiongozi aloko madarakani.
Alionyesha kwa kufanya yapi yenye tafsiri ya upendo?Sahihi kikwete rais mstaafu anaupendo na wananchi wake ilo alilionesha wazi tangu akiwa madarakani
Kila mmoja sasa anajipendekeza kwa Samia.Kwahiyo asingeomba alikua haruhusiwi kutudi tena Tz? Kwa sababu gani? Au aliomba tu ili aonekane mnyenyekevu na kumtukuza mwenye madaraka?
Waliomuita Vasco Da Gama. Mtu wa kuchekacheka, hana sauti kiuongozi na mpigaji si hao hao?Mzee Kikwete hana baya mzee yule....
..Jpm hakuuwawa, alikufa kwa corona.
..Maza alithibitisha wakati wa Royal Tour.
Unaweza nitajia jambo moja ambalo Magufuli aliweza sikiliza kutoka kwa JK kabla hajalifanya??Kikwete ni rais mstaafu hata magufuli kuna mambo mengi tu alikuwa anamsikiliza JK kabla ya kuamua.
Daaah Nchi ilipitia mabaya san kuwah kutokea!!! Kisa mtu hataki kusikia anakosolewa wala kupingwa?Naam.....sio kwa kauli yangu bali ya kwake Lema Mwenyewe.
=====
Lema: Magufuli alipoondoka tu nikampigia Rais Kikwete simu, nikamwambia mheshimiwa mwendazake kashatembea, ongea na mama mimi nataka kurudi nyumbani.
Tulikubaliana nisimwambie mtu lakini ni habari njema mheshimiwa Kikwete nisamehe, akaniambia hapo ulipo upo na nani?
Nikamwambia niko na mke wangu na nimekuweka 'loudspeaker' anakusikia. Akaniambia unataka kurudi lini? Nikamwambia jana, akaniambia subiri wasettle tutaendelea kuwasiliana.
View attachment 2535242
Kisha jpm afariki kweliLema aota ndoto juu ya kifo cha JPM
Lema ampigia simu Kikwete. .....
Hakuna ndoto ni mipango tu.Lema aota ndoto juu ya kifo cha JPM
Lema ampigia simu Kikwete. .....
Aibu yake, mwanamume asiye na kifua cha kutunza siri.... Iwapo mlikubaliana kwa nini anavunja ahadi....???!!!Naam.....sio kwa kauli yangu bali ya kwake Lema Mwenyewe.
=====
Lema: Magufuli alipoondoka tu nikampigia Rais Kikwete simu, nikamwambia mheshimiwa mwendazake kashatembea, ongea na mama mimi nataka kurudi nyumbani.
Tulikubaliana nisimwambie mtu lakini ni habari njema mheshimiwa Kikwete nisamehe, akaniambia hapo ulipo upo na nani?
Nikamwambia niko na mke wangu na nimekuweka 'loudspeaker' anakusikia. Akaniambia unataka kurudi lini? Nikamwambia jana, akaniambia subiri wasettle tutaendelea kuwasiliana.
View attachment 2535242
Hakuna ambaye hakufurahia lile tukio la ukombozi wa nchi yetu mwaka 2021 kuanzia viongozi wastaafu, waliopo madarakani hadi wananchi matajiri kwa maskini!Naam.....sio kwa kauli yangu bali ya kwake Lema Mwenyewe.
=====
Lema: Magufuli alipoondoka tu nikampigia Rais Kikwete simu, nikamwambia mheshimiwa mwendazake kashatembea, ongea na mama mimi nataka kurudi nyumbani.
Tulikubaliana nisimwambie mtu lakini ni habari njema mheshimiwa Kikwete nisamehe, akaniambia hapo ulipo upo na nani?
Nikamwambia niko na mke wangu na nimekuweka 'loudspeaker' anakusikia. Akaniambia unataka kurudi lini? Nikamwambia jana, akaniambia subiri wasettle tutaendelea kuwasiliana.
View attachment 2535242
Aibu yake, mwanamume asiye na kifua cha kutunza siri.... Iwapo mlikubaliana kwa nini anavunja ahadi....???!!!
Alithibitisha kwa vp? Maana ni yeye ndio aliyetangaza rasmi kifo cha Magufuli kwa mara ya kwanza na kueleza sababu ya kifo ambayo haikuwa corona, sasa hiyo mara ya pili kusema kifo cha Magufuli ni corona alithibitisha vp? Asije tena mara ya tatu akasema ni malaria.
Mataga ni kina nani. Mnapenda kuunda vitu kwenye fikra zenu!!??Hii italeta tafrani kubwa kutoka upande wa mataga
Umesema fal.a au ni macho yangu!!?Jk fair sana.