Hivi Lema ana kiwango gani cha elimu? Sijatumwa jamani nauliza tu
Unaweza kutujuza ya kwako kwanza?
Hivi Lema ana kiwango gani cha elimu? Sijatumwa jamani nauliza tu
Mkuu Lema si msomi wala tajiri ila ni kijana mwenye utashi na ushawishi wa hali ya juu wa kisiasa na tena mwenye committment kuwatumikia wabongo . Wasomi katika Bunge letu ni pamoja na Chenge, Lowasa, Rostam, na wengine wengi wakiongozwa na mkuu wa kaya Dr, Dr, Dr, Dr,. Wanatumia elimu zao kuponda mali kufa kwaja bila kuwahurumia waongozwa
Mkuu leo wakati unaongea ulionyesha wazi wazi kuwa una hasira kupindukia au ulikuwa ukiangalia kila sehemu polisi wakutosha ndiyo unakumbuka ya tarehe 5.1.2011...LOLMareche,naomba rekodi vizuri,nimeongea kuhusu swala la umeya,na tumemtaka
serikali ichukue hatua mapema,maana tutafanya maandamano yasiyo na kikomo hadi kieleweke
aje kwamsola uku hatuna hata barabara jamani
Kweli jamaangu. Hatuna rod kabisa. Nawe ww unakaa msola? Mm naishi maeneo hayo karibu na radio 5.