Hawa ni wataalamu wa kupindisha ukweli
CUF haijawahi kushinda uchaguzi Zanzibar
Nondo alijiteka
Mhariri wa Guardian alilewa
Tundu Lissu amepigwa risasi na watu wasiojulikana lakini ni marufuku kuwasomea albadir
Uadui wa kisiasa sio wa kiimani
Ni kama Simba na yanga uadui wao kwenye mechi tu
Siasa za Tanzania haziko hivyo mtu usiku anapanga kukuua mchana anakuita rafiki hiyo haipo.Uadui wa kisiasa sio wa kiimani
Ni kama Simba na yanga uadui wao kwenye mechi tu
ndiyo kishakupita hivyo ....we baki kutype type JF hapa uone kama utapata hela za kuisaidia familia yako...mwizi lakini kishatoka kimaishaUnajua Sera za lema ni za kiwizi wizi tu!
Anajua ndio taget yenu... na sio yeye tu ila Tanzania nzima inajua lengo lenu ni hilo.. ni jema japo sio kwa sanduku la kura... (Asiyewajua atahangaika sanaLema afanye afanyavyo jimbo lazima lirudi home.
Hakuna amani kisogoni.Lema haoni kama huo waweza kuwa mwanzo mpya? Angempa RC Gambo a benefit of doubt na kumuonyesha kuwa anapokea kauli ya Gambo positively. Hatuwezi kuwa na amani na maendeleo kwa kuendekeza mivutano.
Vv
Mtu mzima kuwa muongo na mmbeya ni aibu.Angekuita mwizi wa magari bado ungekimbilia Twitter kulalamika anakuonea.
Nyie watu mna visa kama watoto wa kambo.
Unamaanisha akubali uongo.Lema hapa amekosea...... Mwanaume unahandle mambo kiume
Mpelekeni kwa nguvu akatubu mzee jiweLema always ni mtu wa kulalamika. Iwe kwa baya au kwa zuri. Ingependeza amuone mtaalam wa maswala ya saikolojia.
Ukimuita mtu Rafiki Lina maana au kweli ni swahiba au aduiView attachment 739125
Ktk Ibada ya kusimikwa Askofu,Mh Rais aliongea neno la Mungu kuhusu Amani na Haki.Bila shaka demokrasia na haki vitashamiri tena.Askofu Amani yeye akasisitiza ushirikiano kisiasa bila kubaguana.Mrisho Gambo(RC) yeye akuogopa kuwa muongo madhabauni, eti aliniita Mimi rafiki yake.
Yaani wewe unadhihirisha jinsi gani ulivyomnafiki. Unaweza ku angamiza hata familia yako kwa ajili ya hao bwana zako.kwani Lema ameongea uongo? Kwa nini aseme ni kweli ni rafiki yake wakt sio rafiki yake? Mmeshazoea uongo na unafiki kwa kuwadaa watanzania kwenye vyombo vya habri ka mnaupendo na wazalendo afu sirini mnapanga jinsi gani ya kuangamiza na kuwanyonya. .Angekuita mwizi wa magari bado ungekimbilia Twitter kulalamika anakuonea.
Nyie watu mna visa kama watoto wa kambo.