imani ya gambo na lema ni moja?Uadui wa kisiasa sio wa kiimani
Ni kama Simba na yanga uadui wao kwenye mechi tu
Kama aliyetuahidi viwandaHuyu Lema jamani ana tabia za kitoto mno,hanaga jema hata mara moja! Alafu hawa CDM, wasimamishe mgombea mwingine maana huyu kashaishiwa sera,hana jipya.
Gambo ni mnaa.. Lema aliposimama aliharalisha unaa wa Gambo. ndani ya kanisa ili mambo yaendelele ila nje kanisa hata moyoni mwao ukweli wanaoUngekataa kusimama ili na wewe usipate dhambi Madhabahuni kwa kukubali uongo...!
Yuko sahihi, mtu anaye kuombea hata kufa ufe halafu mbele ya kanisa anakuita rafiki sii ni unafiki huo?Huyu Lema jamani ana tabia za kitoto mno,hanaga jema hata mara moja! Alafu hawa CDM, wasimamishe mgombea mwingine maana huyu kashaishiwa sera,hana jipya.
Kwa hiyo nyie mnaotumia bunduki na mapanga ndio mmekomaa kisiasa sio?!Chadema bado wachanga sana kisiasa.
Sasa hivi tunatumia mpaka pombe ili mtu ajitupe.Kwa hiyo nyie mnaotumia bunduki na mapango ndio mmekomaa kisiasa sio?!
Atakuwaje na jema pasipo na jema?Kweli lema huna jema
Kama kilichopo ni cha kupingwa kwanini asifie?!Anazani kuwa mpinzani ni kupinga kila kitu
Ataitwaje rafiki na adui yake?! Au neno rafiki linatafsiri nyingine awamu hii kama ilivyo tafsiri ya uzalendo awamu hii ambao ni kuwa mjinga wa kukubali kila ujinga na upumbavu wa watawala bila kuhoji na kutafakari?!Ni Huyu Huyu Lema hivi karibuni alitaka Wanasiasa wa Arusha kurudisha uhusiano ili kujenga Ushirikiano Na Maendeleo!
Kuitwa Rafiki ni neno la kawaida sana Kwa busara ya kiwango cha chini sana alipaswa kuchukulia kawaida hasa Kwa Wanasiasa
Chadema wangekuwa wachanga msingepoteza fedha kununua wabunge back madiwani wao.Mnawaua na kuwashamblia na mngefurahi muwafunge jela.Chadema bado wachanga sana kisiasa.
Uadui wa kisiasa sio wa kiimani
Ni kama Simba na yanga uadui wao kwenye mechi tu
Labda useme KIVITA, lkn kisiasa hamuwawezi.Kama unabisha mwambie aliyefungia mikutano afungue uone
Huyu mwizi wa magari huwa ananichekesha sana
Bora Mwizi wa Magari kuliko Mwizi wa Kura..Angekuita mwizi wa magari bado ungekimbilia Twitter kulalamika anakuonea.
Nyie watu mna visa kama watoto wa kambo.
Mwambieni Gambo agombee na Lema Arusha muone vumbi..Uyu hakustaili kuwa wMbunge, ila amekua Mbunge kwakua Arusha walikosa chaguo sahihi. Yeye kilasiku ni bifu tu, ata mwisho wa mwaka moyowake unakua umejeruhiwa sana kwa Chuki.