ukiwa uwelewi omba uweleweshweNa wewe ulikiuwa mnafiki na mwongo kwenye eneo la ibada. Kwani ni RC Gambo alipokutambulisha kama Rafiki yake ulisimama?
Kipi hapo cha kunielwesha dogo? Alipoitwa "Rafiki yangu Lema" kwanini alisimama na wakati sio Rafiki yake? Badala yake anakuja kulalamika mitandaoni? Halafu unasema unieleweshe!!!!!?!??!!?ukiwa uwelewi omba uweleweshwe
Namiss zile nyomi ati...Labda useme KIVITA, lkn kisiasa hamuwawezi.Kama unabisha mwambie aliyefungia mikutano afungue uone
Awamu ya tano!Lema afanye afanyavyo jimbo lazima lirudi home.
Awamu ya tano!
Awamu ya tano JPM!
Lazima tuchukue Arusha!
Well said!
Mkuu embu kuwa mkweli! Kati ya ccm na chadema nani anachuki na mwenzake?!Uyu hakustaili kuwa wMbunge, ila amekua Mbunge kwakua Arusha walikosa chaguo sahihi. Yeye kilasiku ni bifu tu, ata mwisho wa mwaka moyowake unakua umejeruhiwa sana kwa Chuki.