Mkataba wake unaisha oktoba 2015.
Amina, Mungu atujaalie tuwepo
Mkataba wake unaisha oktoba 2015.
Lema ataendelea kuwa mbunge ARUSHA ccm walie tu.
Alikuwa ametulia kama maji ya mtungi, bado hatujasahau kilichomkuta Gerezani tutamvua nguo tena asituchezee Machalii wa ARUSHA.
Ndio vilaza wa Chadema mnavyojidanganya hivyo. Nyie ndio mnasubiri Chadema ichukue nchi mlipwe mishahara bila kufanya kazi teh teh teh teh
mtumwa fisimi nipo hapa sakina njoo hapa seven up utanikuta
Martin Luther King hakuwa mpumbavu
wewe ndio kilaza wa kwanza....Umekosa adabu...Watu tuna heshima zetu tutaenda kupata elimu ya ukombozi.