Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,230
- 10,201
lumumba wakiona mada imeandikwa lema watajaa hapa sasa hivi kwa matusi wakiongozwa na msalani
Nowadays anajiita MUSSA ALLAN na ni verified user
Last edited by a moderator:
lumumba wakiona mada imeandikwa lema watajaa hapa sasa hivi kwa matusi wakiongozwa na msalani
Kweli Arusha ni kubwa!? Hata wewe wa Nduruma kumbe mpo Arusha!? hah hah hah....
Nowadays anajiita MUSSA ALLAN na ni verified user
Msaidieni kwanza Mrejeshe ile Trekta iliyouzwa, pamoja na zile Ambulance mbili...Ametufanya jasiri mpaka tumechukua halmashauri ya jiji. Awamu hii tutamsaidia kurejesha mali za jiji zilizoporwa na ccm na mafisadi km uwanja wa sheikh Amri Abeid, uwanja wa Azimio Sakina na uwanja wa hospitali Njiro kontena. Pia yeye na madiwani wametutetea hatukuchangishwa maabara ambayo jiji limejenga kwa kodi yetu.
Msaidieni kwanza Mrejeshe ile Trekta iliyouzwa, pamoja na zile Ambulance mbili...
Pole unaelekea mjomba wako alikuharibu sanaAlikuwa ametulia kama maji ya mtungi, bado hatujasahau kilichomkuta Gerezani tutamvua nguo tena asituchezee Machalii wa ARUSHA.
Mi nipo hapa Sakina njoo hapa Seven Up utanikuta
Mjumbe wa Kamati kuu Chadema Godbless Lema leo anatarajiwa kuhutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Wajenzi mjini Dodoma saa 8 mchana leo.
Kamanda Lema ambaye pia ni mbunge wa Arusha mjini anatarajiwa kuelezea mambo kadhaa kuhusiana na wizi wa Tegeta Escrow,maazimio ya bunge na utekelezaji wake.
Mjumbe huyo wa kamati Kuu anatarajiwa pia kuwashukuru wananchi kwa kuiunga mkono Ukawa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Akihojiwa Lema amesema anakwenda kuzungumza mambo makubwa ya nchi na kuwataka wakazi wa Dodoma wakae tayari kusikia mambo ambayo huenda hawajayasikia.
Godbless Lema alikuwa amemtaka aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo kujiuzulu kabla ya kikao cha bunge kinachoanza kesho vinginevyo angemtoa kwa nguvu bungeni.
Lema anatarajiwa kufuatana na Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje na wabunge wengine kadhaa wakiwemo viongozi wa Kanda wa Chadema na mkoa wa Dodoma.
Lema mwizi tena jambazi
Mjumbe wa Kamati kuu Chadema Godbless Lema leo anatarajiwa kuhutubia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Wajenzi mjini Dodoma saa 8 mchana leo.
Kamanda Lema ambaye pia ni mbunge wa Arusha mjini anatarajiwa kuelezea mambo kadhaa kuhusiana na wizi wa Tegeta Escrow,maazimio ya bunge na utekelezaji wake.
Mjumbe huyo wa kamati Kuu anatarajiwa pia kuwashukuru wananchi kwa kuiunga mkono Ukawa kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa.
Akihojiwa Lema amesema anakwenda kuzungumza mambo makubwa ya nchi na kuwataka wakazi wa Dodoma wakae tayari kusikia mambo ambayo huenda hawajayasikia.
Godbless Lema alikuwa amemtaka aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini Sospeter Muhongo kujiuzulu kabla ya kikao cha bunge kinachoanza kesho vinginevyo angemtoa kwa nguvu bungeni.
Lema anatarajiwa kufuatana na Mbunge wa Nyamagana Ezekiel Wenje na wabunge wengine kadhaa wakiwemo viongozi wa Kanda wa Chadema na mkoa wa Dodoma.
Naongea kama mwenyekiti wa Mtaa wa Melamari kata ya Sakina. Katika mtaa wangu sina mwananchi mwenye akili mfu kama wewe.
Over.
Naongea kama mwenyekiti wa Mtaa wa Melamari kata ya Sakina. Katika mtaa wangu sina mwananchi mwenye akili mfu kama wewe.
Over.