Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 137,495
- 272,138
Acha uongo wewe hapo seven up hawakai masikini , we unajulikana hela huna unafanya nini hapo ?Mi nipo hapa Sakina njoo hapa Seven Up utanikuta
Acha uongo wewe hapo seven up hawakai masikini , we unajulikana hela huna unafanya nini hapo ?Mi nipo hapa Sakina njoo hapa Seven Up utanikuta
Kweli Arusha ni kubwa!? Hata wewe wa Nduruma kumbe mpo Arusha!? hah hah hah....
Lema ni viwango vya kina Luther king, ngoja akawachape
Acha uongo wewe hapo seven up hawakai masikini , we unajulikana hela huna unafanya nini hapo ?
Yani ccm ni bora wapate hata habari ya msiba kuliko kusikia jina Lema.
Muhongo anajua moto wa Lema ndo maana akaamua kujiuzuru kabla ya keshoyaani nilikuwa nasubiri nione cinema ya bure Muhongo akibebwa nzoga nzoga na kutupwa nje ya bunge.
Mi nipo hapa Sakina njoo hapa Seven Up utanikuta
Ndio vilaza wa Chadema mnavyojidanganya hivyo. Nyie ndio mnasubiri Chadema ichukue nchi mlipwe mishahara bila kufanya kazi teh teh teh teh
Huyu hapa amevaa miwani .He! Mie nilidhani huyu jamaa ni masikini wa akili tuu, kumbe hata umasikini wa kipato anao? Kelele zote zile kuwashangilia na kuwalamba miguu mafisadi kumbe ni kujilengesha labda naye atatupiwa kama Luge alivyowatupia wale wengine?
Lema ataendelea kuwa mbunge ARUSHA ccm walie tu.
Mkataba wake unaisha oktoba 2015.