Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Godbless Lema: Kesho narudi bungeni!

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
52,153
Reaction score
162,570
Nimemsikia Mbunge lema kupitia taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku huu akisema kuwa kesho anarudi bungeni licha ya amri ya naibu spika kuwazuia kuingia bungen kwa siku 5.

Mbunge Lema alikuwa akihojiwa na ITV sambamba na wabunge wengine waliosimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.Mmoja wao alikuwa mh.Tundu Lissu aliesema hakuna kanuni ya bunge inayoweka ukomo wa mtu kuomba utaratibu na kwamba maamuzi ya naibu spika hayakuwa sahihi.Wengi wao waliohojiwa wamelaumu uamuzi huo.

Binafsi nashindwa kuamini nilichokisika labda kama nimesikia vibaya maana najiuliza kama hizo kanuni za bunge zitamruhusu kweli kurudi bungeni!

Kwakweli wabunge wa CHADEMA wananyanyaswa sana na kiti cha spika!

Makamanda vumilieni kwani msitarajie ushindi rahisi bila watu kupita katika kipindi kigumu.

Hata hivyo,naibu spika anapaswa kutafakari athari za kukosa michango ya wabunge hao ndani ya bunge kwa siku hizo 5.Maamuzi haya ya jaziba hayana tija kwa watanzania badala yake ni hasara kwa Taifa.
 
Tundu Lissu na wenzake walioomba utaratibu yaani "Point of Order" hawakuwa na kosa lolote kwani Kanuni ya Bunge ibara ay 65(1)(c) inasema hivi:

{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}

Hivyo, Lema, Lissu na wenzake hawajavunja kanuni yoyote na anayepaswa kuwajibika ni Job Ndugai kwani video imeonyesha wazi kuwa amezuia point of order wakati hana mamlaka hayo.
 
Duh hawa jamaa sijui wanaipeleka wapi nchi yetu ni siasa za bangi namna hii.

Tatizo hamjui kutafsiri kanuni. Mlizoea kushika wabunge masikio na kuwaburuza sasa mnaona kila kitu ni uvunjifu wa kanuni pale mnapoona mambo yana wazidi.

Si mlisha ambiwa kwamba RCs na DCs si wafanya kazi wa serikali lakini wanatumia resource za serikali ikiwa ni pamoja kuwaza kutoa amri ya kumuweka mtu ndani.
 
jamani hawa kidato cha nne wa 2012 kila neno ni bangi.ttttttttttttttttu ni siasa za bangi namna hii.[/QUOTE]
 
Sifa binafsi wamachinga arusha shida kibao amekalia mwongozo wa spika
 
we ... serukamba you.1606]Kanuni ya Bunge 65.(1)(c) inasema hivi:
{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}[/QUOTE]
 
huyu jamaa ana udhihirishia umma wa watanzania kua kweli kawehuka, bunge lipitishe sheria ya kupima watu akili maana hiki ni kioja
 
Haki aiombwi inapiganiwa ukombozi umekaribia big up makamanda
 
Hamna loloote wanaumia kwa kukosa posho hela mchezo hawa ndo walitaka kuzichapa juu ya posho iliyokuwa inapingwa na chama
 
we ... serukamba you.1606]Kanuni ya Bunge 65.(1)(c) inasema hivi:
{Isipokuwa tu kwa idhini ya Spika, Mbunge yeyote hataruhusiwa kusema zaidi ya mara moja juu ya hoja, ila tu kama anasema kuhusu utaratibu}
[/QUOTE]

Ukikurupuka kwenye post zangu humu JF utaambulia patupu.
 
Na wewe umechangia? umejitahidi, wenzako wapo ndani wanasoma kitabu cha awafu mwenye nguvu nyie mpo humu jamvin. cdm forever. never gv up.
 
Nimemsikia Mbunge lema kupitia taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku huu akisema kuwa kesho anarudi bungeni licha ya amri ya naibu spika kuwazuia kuingia bungeni.

Mbunge Lema alikuwa akihojiwa na ITV sambamba na wabunge wengine waliosimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.Mmoja wao alikuwa mh.Tundu Lissu aliesema hakuna kanuni ya bunge inayoweka ukomo wa mtu kuomba utaratibu na kwamba maamuzi ya naibu spika hayakuwa sahihi.Wengi wao waliohojiwa wamelaumu uamuzi huo.

Binafsi nashindwa kuamini nilichokisika labda kama nimesikia vibaya maana najiuliza kama hizo kanuni za bunge zitamruhusu kweli kurudi bungeni?

Kwakweli wabunge wa CHADEMA wananyanyaswa sana na kiti cha spika!

Makamanda vumilieni kwani msitarajie ushindi rahisi bila watu kupita katika kipindi kigumu.

Yeeees! MK47 inarudi ndani ya uwanja wa mapambano. Lazima afe mtu kwa pressure bunge hili.
 
Sifa binafsi wamachinga arusha shida kibao amekalia mwongozo wa spika

Kwani ndiy mwenye serikali? Mbona Bagamoyo na pale Msoga machinga ndio wameliwa na funza kabisa licha ya shida walizo nazo, unashangaa wa Arusha? Its a universal problem kwa serikali hii ya MAGAMBA. Wewe vipi?
 
Sisi kituo cha police central tunamsubiri kwa hamu lema kesho maana tutamkamatia getini na atakuwa selo hadi j3 tunampeleka mahakamani nalazima tutamkuta na kete alizotumia kwishneyy
 
Nadhani LEMA alitoa mfano tu, kuwa kufukuzwa ndani ya bunge sio issue sana, kwani atafukuzwa leo na kesho atarudi, mimi ndivyo nilivyomuelewa, pia aliongeza kuwa kuna watu walifungwa miaka 27(akimaanisha mandela) kwa ajili ya ukombozi hivyo yeye haoni ajabu kutolewa Bungeni....!
Lema nimemwona Arusha Jioni ya leo muda wa saa kumi na mbili hivi..sio rahisi awepo bungeni kesho.
 
Nimemsikia Mbunge lema kupitia taarifa ya habari ya ITV ya saa 2 usiku huu akisema kuwa kesho anarudi bungeni licha ya amri ya naibu spika kuwazuia kuingia bungeni.

Mbunge Lema alikuwa akihojiwa na ITV sambamba na wabunge wengine waliosimamishwa kuhudhuria vikao vya bunge.Mmoja wao alikuwa mh.Tundu Lissu aliesema hakuna kanuni ya bunge inayoweka ukomo wa mtu kuomba utaratibu na kwamba maamuzi ya naibu spika hayakuwa sahihi.Wengi wao waliohojiwa wamelaumu uamuzi huo.

Binafsi nashindwa kuamini nilichokisika labda kama nimesikia vibaya maana najiuliza kama hizo kanuni za bunge zitamruhusu kweli kurudi bungeni?

Kwakweli wabunge wa CHADEMA wananyanyaswa sana na kiti cha spika!

Makamanda vumilieni kwani msitarajie ushindi rahisi bila watu kupita katika kipindi kigumu.

uzuri wa kuwa na wabunge wasomi sana kama lema...ndio hivi .....mambo kama bodaboda
 
Hakiamungu ccm ni janga sana kwa Nchi yangu ya AMANI na UPENDO!
Haya haya ndiyo yalimsibu Gaddafi wa Libya!
 
Kwani ndiy mwenye serikali? Mbona Bagamoyo na pale Msoga machinga ndio wameliwa na funza kabisa licha ya shida walizo nazo, unashangaa wa Arusha? Its a universal problem kwa serikali hii ya MAGAMBA. Wewe vipi?

kaka nikipitaga pale msoga hasa pale njia panda kwenda kwa mweshiwa pamechoka mno hasa tunyumba tule twa udongo.
 
Back
Top Bottom