Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Ikiwa inakaribia kuisha week sasa tangu msiba wa aliyekuwa mgombea wa ACT WAZALENDO ndugu Estom Malla jimbo la Arusha kuisha yamekuwepo maswali yasiyo na majibu kuwa Malla alikuwa mgombea na wagombea wenzake wote walifika kuhani msiba na kushiriki mazishi huko Moshi.
Ila mgombea wa CHADEMA God bless Lema hakuonekana kwenye msiba huo tangu ulipo tokea mpaka alipozikwa muda wote Lema alikuwa Arusha akiendelea na kampeni zake. Siku ya mazishi alikuwa mtaa wa Madadii Unga LTD.
Kwani wewe ulitakaje?