Godbless Lema avuliwa ubunge

Status
Not open for further replies.
wana jf, gazeti la mwananchi la leo tarehe 6 april 2012 limeandika godbless lema amefungiwa kugombea ubunge kwa kipindi cha miaka mitano. Je,habari hii ya kufungiwa miaka mitano ni ya kweli?



Yote ya yote utapata kesho majaliwa ktk uwanja wa NMC!

Utapata live bila chenje majibu haya kupitia JF only na kwa muda muafaka toka meza kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo!

Mhalisi!

Using'atuke kwenye mtandao kijana!
 

gungu.
ccm sikio la kufa, tunataka tumjue atakayewafungulia camp yao mbali ya mgombea atakayeaibika!!!!
 

Siochuki2 mku ikumbuke baada yauchaguz ccm ilitangaza mt yeyote anayeona ameonewa hakushindwa kihalali afungue kesi na chama kitagaramia garama zakesi.hiyo haikua shida kama haki ingetendeka kweli.tatizo kesi yalema haikua nakichwa wala miguu mimi nimeifatilia toka mwanzo haikua yakumshinda lema dhahiri ilikua ya kuchongwa.nimeshangaa hukumu iliyotolewa sijui jaji ametumia vigezo gani hata kama ametumwa au kuagizwa lakini yeye amehukumu kwa vigezovipi?ila wamechemsha kwahili chadema hawatoweza kuitoa arusha hata chadema watasimamisha jiwe arusha ushindi 90%
 
haya hongreni kama ndiyo wasiwasi wangu CCM safari hii watalichukua jambo la Arusha Kamanda MKUÛ ni nchemba
 
Lema ni mbunge halali wa mioyo ya wana-arusha. Ilikuwa hivyo, iko hivyo na itaendelea kuwa hivyo. Ova.
 
nazani huku haki haikutendeka,.igunga imetendeka
Bila shaka ulitaka kusema unadhani, siyo? Hata hivyo kwani jaji ni huyo huyo? Ngoja kwanza tusubiri tuone kama Kafumu naye atautumia muda huu kuzunguka TZ kuhamasisha wana CCM katika harakati za kukijenga chama chake?
 
Duh noma sana! Mbona hapakuwa na ushahidi? je anaruhusiwa kugombea?

Wacha uvivu wa kusoma Mkuu soma update mleta habari anasema ameruhusiwa na mahakama kugombea tena na ameambiwa alipe garama za kesi na amekubali kulipa na amefurahia hukumu japo mazingira ya hukumu yalikuwa na utata Kama ushahidi etc.... Mengine angalia taarifa za habari na magazeti ya kesho mkuu
 
Lema ni mbunge halali wa mioyo ya wana-arusha. Ilikuwa hivyo, iko hivyo na itaendelea kuwa hivyo. Ova.


Uko Sawa Mkuu, Mimi nawashauri ccm badala ya kupoteza hela na muda kwenye kampeni watumie muda wao kuwaondoa mafisadi na kurudisha hela zetu zilizotoroshewa ulaya, na vyama vingine vitumie hela kujenga vyama vyao wamuache lema apite bila kupingwa na CDM nao wasiangaike kutumia hela nyingi kwenye kampeni Bali lema akawakumbushe tuu wapiga kura wake wasisahau tarehe maana hakuna asiyemjua wala wakumpinga. The guy he own the territory hakuna wa kumtoa roger.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…