LiverpoolFC
JF-Expert Member
- Apr 12, 2011
- 11,348
- 3,219
wana jf, gazeti la mwananchi la leo tarehe 6 april 2012 limeandika godbless lema amefungiwa kugombea ubunge kwa kipindi cha miaka mitano. Je,habari hii ya kufungiwa miaka mitano ni ya kweli?
Ndugu mjengwa nikueleze tu kwamba utapandisha presha bure ccm haikubaliki na watanzania hawadanganyiki tena, ni lini uliwahi kuona mahkama zetu zimetenda haki na kwa udhibitisho gani? wewe kama mtanzania mzuri mwana ccm mzuri na una haki ya kugombea popote Tanzania njoo uchukue hili jimbo kwa ticket ya ccm labda unaweza kununua shimo la kukufukia, kifupi ccm tafuteni handsome au very beautiful mumsimamishe hapa arusha na msisahau kuwaleta mwaziri wote mnaowaona wazuri na wanafaa na marais,mawziri wakuu na usalama wa taifa vyombo vya dola vyote hapa Arusha nakuhakikishia kuwa wote itawezekana kabisa mkafia hapa, Arusha huyo mwingulu mchimba kaburi akaanze kuchimba kule kwao,nape yeye saizi ya Mh. Nassary
Mashitaka dhidi ya Mh.Lema yalikuwa hivi:
Alimkashifu MH.Batilda Burian kwenye Kampeni zake eti Batilda ana mimba ya lowassa, Batilda ni mdini, Batilda ameolewa zanzibar kwahiyo hatakuwa karibu na wakazi wa Arusha na vile vile katika jamii za kimasai,kichagga au kimeru hawawezi kuongoza na mwanamke..!
Sasa fananisha hayo maneno juu na matutsi ya Lusinde..,
Lakini cha ajabu,..mashahidi dhidi ya lema hawalikuwa wakijichanganya kwenye kesi na kukosa ushahidi wa video au wala sauti, na vile vile mh.batilda burian wala mume wake au lowassa hawakusilisha mashtaka yeyote polisi kama wamekashfiwa wala kufungua mashtaka dhidi ya lema..!
Na ikasemekana waliomfungulia kesi wana chuki binafsi na wivu dhidi ya mh.lema
nazani huku haki haikutendeka,.igunga imetendeka
Bila shaka ulitaka kusema unadhani, siyo? Hata hivyo kwani jaji ni huyo huyo? Ngoja kwanza tusubiri tuone kama Kafumu naye atautumia muda huu kuzunguka TZ kuhamasisha wana CCM katika harakati za kukijenga chama chake?nazani huku haki haikutendeka,.igunga imetendeka
Duh noma sana! Mbona hapakuwa na ushahidi? je anaruhusiwa kugombea?
Lema ni mbunge halali wa mioyo ya wana-arusha. Ilikuwa hivyo, iko hivyo na itaendelea kuwa hivyo. Ova.