Mashitaka dhidi ya Mh.Lema yalikuwa hivi:
Alimkashifu MH.Batilda Burian kwenye Kampeni zake eti Batilda ana mimba ya lowassa, Batilda ni mdini, Batilda ameolewa zanzibar kwahiyo hatakuwa karibu na wakazi wa Arusha na vile vile katika jamii za kimasai,kichagga au kimeru hawawezi kuongoza na mwanamke..!
Sasa fananisha hayo maneno juu na matutsi ya Lusinde..,
Lakini cha ajabu,..mashahidi dhidi ya lema hawalikuwa wakijichanganya kwenye kesi na kukosa ushahidi wa video au wala sauti, na vile vile mh.batilda burian wala mume wake au lowassa hawakusilisha mashtaka yeyote polisi kama wamekashfiwa wala kufungua mashtaka dhidi ya lema..!
Na ikasemekana waliomfungulia kesi wana chuki binafsi na wivu dhidi ya mh.lema