Tatizo kubwa wengi tunaona kama kuwa upinzani ni uadui au kuwa na rafiki na mtu wa chama tawala ni msaliti. Sisi sote ni ndugu ila kila mmoja wetu ana mawazo tofauti na mwenzio na pia ana mapenzi ya itikadi ya chama flani. Haya yote yasifanye undugu wetu wa miaka na miaka kugawanyika kisa kutofautiana mawazo. Tukianza kubaguana taratibu tutaanzakubaki wa chama flani baadaye itakuja wa mkoa fkani mwisho utasikia wa dini flani ambapo ni jambo baya sana. Sioni tatizo kuwa na rafiki chama tawala au chama pinzani