Godbless Lema akatazwa kupiga kampeni Arusha Mjini

Godbless Lema akatazwa kupiga kampeni Arusha Mjini

"Hajafanya chochote," Ila wananchi wa Arusha wanampenda sana!

Umeridhika?
Majibu ya namnahii maranyingi hutolewa na wahanga wa kukatwa. Na subirini tar 25 October watanzania watawaweka kwenye kitu inaitwa "political guillotine amputation"
[emoji116]
uploadfromtaptalk1443253519638.jpg uploadfromtaptalk1443253531994.jpg
 
aongeze nguvu kwenye majimbo mengine yeye kashapita.mpaka sasa ukawa tuna uwakika na majimbo 120 kusshinda kwa kishindo na ikifika 25 october tutakua na majimbo 200 masikini ccm wataambulia machache
 
1Kawawakilisha wana arusha bungeni, 2.kashiriki kutunga sheria bungeni 3. kaisimamia na kuishauri serekali kwa wajibu wa mbunge unavyotaka. Na chakuongezea kawafundisha watu wa Arusha kutokuwa na nidhamu ya woga na unafiki.

Umesema vyema maana hiyo ndo kazi ya mbunge wala si kujenga madaraja au barabara
 
Ccm hawana tofauti na Tareeq Aziz , aliyekua waziri wa Sadaam Hussein !
Aziz kila kukicha alikua haamini kama Bush na majeshi yake anazidi kuisogelea Iraq !

yule waziri wa habari alikuwa anaitwa Alsahaf sio Tariq Aziz huyu alikuwa wazir ama naibu wazir mkuu!
 
Kwani ccm arusha wapo ?? Mie nakutanaga nao kama wanaenda harusini vile
 
Kazi kuuubwa kabisa na ya msingi sana na ya kishujaa ambayo Mheshimiwa Godbless John Lema ameifanya hapa Arusha na kupitia jimbo hili; katika NJI nzima ni kuleta UKOMBOZI WA FIKRA na MWAMKO WA kujiamini; Kujitambua na Ujasiri wa kuzijua haki zao na kuzitetea kwa hali na mali pale inapobidi miongoni mwa wananchi.

Hii ni sawa na kazi za Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere; RIP; alizozifanya kati ya mwaka 1953 na mwaka 1961; UKOMBOZI WA FIKRA; KUJITAMBUA; KUJUA UTU WAO NA KUJENGA UJASIRI MIONGONI MWA RAIA na kuwawezesha kukabiliana na wakoloni mpaka Uhuru ukapatikana. Mwalimu Nyerere hakufanya kazi ya kujenga barabara, zahanati wala shule katika kipindi cha vuguvugu la ukombozi; kazi hizo alizianza mara tu baada ya Tanganyika kujipatia uhuru na baada ya miaka 10 ya uhuru aliwakaribisha wakoloni akiwemo gavana wa mwisho wa mwingereza Sir Richard Turnbull mwaka 1971 waje kujionea hatua tuliyofikia katika kipinda kifupi tu cha miaka 10; moja ya vielelezo vikubwa ni uwanja wa Ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro.

Bravo GJL; Tutakuchagua kwa kishindo Kamanda uendelee na kazi ya kuongoza mapambano dhidi ya mkoloni mweusi CCM

Mabadiliko ya fikra yamekwama kwa sababu mwenyekiti na cc ya chadema haipingi ufisadi tena.
 
kafanya mengi sana lakini moja na la msingi ni KUONDOA UOGA NDANI YA JAMII , hiyo ni homa mbaya inayotesa sana watanzania .

Jamii ya Arusha haijawahi kuwa na uoga ndio maana iliwahi kumchagua makongoro kupitia nccr.Jibuni hoja ya kwamba lema ameleta nini?
 
Tunamwomba na rais wetu lowasa apumzike kwani hamna haja ya kampen. Asubir kuapishwa tu.
 
Limeliona hilo FB... wanamwambia Lema, awapigie madiwani kampeni tu... Pia aende pia KUFUATANA NA RAIS WETU LOWASSA, kumalizia kazi kidogo iliyobaki..!!!


Arusha, Arushaaaa.... Arushaaa... Arushaaa... Arushaaaaaaa.... niko chini ya miguu yenu..!!!

Mnajitambua hadi basi...!!!
 
Back
Top Bottom