Godbless angepaswa kuyajua haya mapema

Godbless angepaswa kuyajua haya mapema

Yoda

JF-Expert Member
Joined
Jul 22, 2018
Posts
62,452
Reaction score
104,621
Kuna watu wengi(wafanyabiashara na wafanyakazi) wananununua bodaboda na kwawakabidhi vijana kwa mkataba ambao huwaletea makusanyo kila siku au kila wiki. Hawa hawawezi kukubaliana na Lema kamwe.

Kuna watu wengi wana wafanyakazi wa kusaidia kazi(house girls na houseboys) majumbani kwao kwa ujira wa unyonyaji, malipo ya kujikimu tu. Hawa pia sio rahisi kukubaliana na hoja ya Lema.

Kuna watu wengi na kampuni wanaajiri vijana katika biashara zao, kampuni, viwanda au mashamba. Wengi wa hawa vijana wanalipwa ujira mdogo sana na kuwafanya wengi kufa wakiwa katika lindi la umaskini hata kwa kufanya kazi miaka mengi. Hawa hawawezi kukubaliana na Lema.

Ukiacha wale ambao wanaona bodaboda ni ajira nzuri tu na haina shida yoyote, Wengine wengi wanampinga Lema kwa nguvu zote kwa sababu wasingependa kuingia katika "slippery slope" na "contradictions".
 
Sasa tatizo ni nini? lema anasema hizo zote ni umasikini kama ulivyosema. Mnajua mmezoea unafiki! Kutosema ukweli! hata hao wanaofanya kazi za nyumbani ni umasikini, ni unyonyaji. tafuta njia ya kujinusuru au serikali iwanusuru.. Ndiyo argument ya Lema
 
Upumbavu ni kujilinganisha hao boda na walimu. Hapa JF mada za Kikuda kuwadharau watu fulani ndio hushabikiwa.

Usingekuwa ufara wa baadh ya wana JF, mjadala ungekuwa umehitimishwa.

Kuendesha boda kama kazi ni laana.
 
Unasema?

20230307_141505.jpg
 
Back
Top Bottom