....Godbles Lema akirudi bungeni nakunywa sumu

....Godbles Lema akirudi bungeni nakunywa sumu

Status
Not open for further replies.
Kwa heshima yake na wafuasi wake lazima atekeleze ahadi yake.Vinginevyo kama walivyo wanaojidai makada wa CCM, ni mnafiki mkubwa na mbinafsi.
 
No anajifanya kashasahau kama vipi anahitaji mkutano wa kumkumbusha kuhusu ahadi yake
 
Of course that is it!! usicheze na kiapo mkuu!!! Nina hakika hivi sasa anaumia ndani kwa ndani kujutia kauli yake. Ndo mana amekuwa muda wote hatulii, wenye akili tunajua ameanza safari ya kuelekea alikokatia tiketi yake... Muda utaamua.......
Yaani ukiapa tu inaanza ku count down, yakitimia unakatika. dah nadhani nidhamu ingekuwepo
 
Kwani saiv yupo hai humoni anatembea kama vile hayupo tena kweli lowossa ana kambi dhaifu
 
Katika kauli ambazo kwa kweli ziliwahi kunichefua ni hii iliyokua ikitolewa na Matthias Manga ambaye ni Diwani wa Kata ya MLANGARINE,(CCM) ktk Jimbo la Arumeru Magaribi.

Kwa wale wanaomjua vema,huyu ni Miongoni mwa Watu wanaotumiwa na Mzee Mamvi Mkoani Arusha kuhujumu Harakati za Chadema,na pia alitumika ktk chaguzi za ndani za Ccm,Mkoani Arusha mwaka jana 2012 kuhakikisha kua Nafasi zote za juu,kuanzia Mkoani na Wilayani,haswa Wilaya ya Arusha Mjini hachaguliwi mtu asiekua Mzaliwa wa Asili wa Mkoa wa Arusha. Na kauli mbiu yao ilikuwa Nyumbani kwanza.!!

Ikumbukwe kuwa, Magamba yalikua na uhakika 100% kwamba Lemma angeshindwa Rufaa na Kupelekea,Uchaguzi kurudiwa.! Matthias Manga,na Phelemon Mollel Mkurugenzi,BANDIA wa Monaban kwa kutumiwa walianzisha Mikutano iliyojulikana,kama MAA!! yaani Harakati za Wamasai(Waarusha)kushika Nyadhifa zote za Kisiasa na Kiuongozi Mkoani Arusha.! Haswa Ubunge na Udiwani, ndipo Kikao cha Kwanza kilikaa Mwezi wa 8,maeneo ya Nanenane Njiro, kikao cha pili kilifanyika Maeneo ya Kaloleni mwezi wa 10,na cha Tatu kilifanyika mwezi wa 12,maeneo ya Ngaramtoni TPRI ukumbi wa Wakorea! Mikutano yote iliratibiwa na MATHIAS MANGA wakishirikiana,na PHELEMON MOLLEL.

Mwenyekiti wa Mikutano alilikuwa ni Phelemon Mollel (Ushahidi upo)..pale ndipo maneno ya Kusema Lemma akirudi Bungeni nakunywa sumu! yalikuwa yakitamkwa..Lakini baada ya Mahakama Kuu ya Rufani chini ya Majaji watatu,Kufutilia mbali Hukumu ile,na Kumrudishia Mrufani(Lemma) Ubunge, Vile Vikao vya MAA (Vya Ubaguzi wa Kikabila) vilikufa,! Na bwana Matthias Manga Diwani wa Mlangarin,kwa Aibu ya Ahadi aloyoitoa ya Kunywa Sumu japo hakufanya hivyo baada ya Lemma kurudishiwa Ubunge! Aliwanunua Vijana Usiku wa tar 31-12 2012,na kwenda kuzivunja na kuziharibu baadhi ya Ofisi na Matawi ya CDM! ktk Kata anayoiongoza.

Huyu Ndie Matthias Manga, Diwani wa Mlangarine aliyeapa kwamba Jembe Lema akirudi Bungeni Anakunywa Sumu.



Kilichoandikwa hapa ni kweli, hata mimi ni mmojawapo ya watu niliokuwa nahudhuria hv vikao!!! niliumizwa sana na jinsi Wamasai na Waarusha wanavyoanza kuwabagua makabila mengine na hasa hapa wachaga wanapigwa vita sana!!! Kupigwa vita wachaga kulianzia makanisani na hasa KKKT, hawa watu wanagombana na watu balada ya kugombana na souce ya tatizo!! mimi ni mwaarusha, tatizo la waarusha ni kwamba wazazi hawataki kupeleka watoto wao shule na watoto hawataki kusoma, ni kuuza mashamba kwa mamilioni kila siku then wananunua bodaboda na towm ice, kwa vijana wa kiarusha na kimasai kazi kubwa iliyoko kichwani mwao ni kuwa dereva!!! tena waarusha wanadanganywa na waarusha na wamasai wenzao, akina lowasa, phelemon molle, mathias n.k wanawadanganya waarusha kwa kuwauzia maeneo na wao wanayaendeleza na kuwa matajiri!!!! NDUGU ZANGU WAMASAI, ADUI YETU SIO WACHAGA HATA KIDOGO, NI SISI WENYEWE, NI WAMASAI WENZETU, NI WACHUNGAJI HASA WA KKKT WANAOHUBIRI UKABILA MAKANISANI, NI MILA ZETU MBOVU AMBAZO HATUTAKI KUZIACHA NA WANASIASA HAWATAKI KUTUAMBIA UKWELI KWANI WANAOGOPA KUPOTEZA ULAJI WAO, ADUI YETU NI KUKOSA KUWASOMESHA WATOTO WETU, KUENDEKEZA POMBE NA NDOA ZA WAKE WENGI ZISIZO NA TIJA KABISA, NA ZAIDI SANA ADUI YETU NI CCM NA VIONGOZI WA CCM!!!!! HATA HIVYO SISI MACHALIIII WA ARUSHA TUMESHAISHTUKIA CCM, SIE TUNAMJUA LEMA KAMA KAMANDA WETU NA KIONGOZI WETU NA WENGINE WANAOFANANA NA LEMA KWA KUPIGANIA UZALENDO, HAKI NA HESHIMA NA MAISHA MAZURI YA MTANZANIA HIVYO!!!
 
Yangu macho. Mathias na Lema wote mabest wangu..!!
Hii vita mie simo
Hizo ndiyo siasa za kistaarabu.....mnapingana jukwaani.....mkimaliza mnakaa chini na "tochi" zenu mnapata kinywaji pamoja
 
Asipotimiza ahadi yake ya KUNYWA sumu basi hatokuwa na tofauti pamoja na wale walio msulubu Yesu.
 
Katika kauli ambazo kwa kweli ziliwahi kunichefua ni hii iliyokua ikitolewa na Matthias Manga ambaye ni Diwani wa Kata ya MLANGARINE,(CCM) ktk Jimbo la Arumeru Magaribi.

Kwa wale wanaomjua vema,huyu ni Miongoni mwa Watu wanaotumiwa na Mzee Mamvi Mkoani Arusha kuhujumu Harakati za CHADEMA, na pia alitumika ktk chaguzi za ndani za CCM, Mkoani Arusha mwaka jana 2012 kuhakikisha kua Nafasi zote za juu,kuanzia Mkoani na Wilayani,haswa Wilaya ya Arusha Mjini hachaguliwi mtu asiekua Mzaliwa wa Asili wa Mkoa wa Arusha. Na kauli mbiu yao ilikuwa Nyumbani kwanza.!!

Ikumbukwe kuwa, Magamba yalikua na uhakika 100% kwamba Lemma angeshindwa Rufaa na Kupelekea, Uchaguzi kurudiwa.! Matthias Manga,na Phelemon Mollel Mkurugenzi,BANDIA wa Monaban kwa kutumiwa walianzisha Mikutano iliyojulikana,kama MAA!! yaani Harakati za Wamasai(Waarusha)kushika Nyadhifa zote za Kisiasa na Kiuongozi Mkoani Arusha.! Haswa Ubunge na Udiwani, ndipo Kikao cha Kwanza kilikaa Mwezi wa 8,maeneo ya Nanenane Njiro, kikao cha pili kilifanyika Maeneo ya Kaloleni mwezi wa 10,na cha Tatu kilifanyika mwezi wa 12,maeneo ya Ngaramtoni TPRI ukumbi wa Wakorea! Mikutano yote iliratibiwa na MATHIAS MANGA wakishirikiana,na PHELEMON MOLLEL.

Mwenyekiti wa Mikutano alilikuwa ni Phelemon Mollel (Ushahidi upo)..pale ndipo maneno ya Kusema Lemma akirudi Bungeni nakunywa sumu! yalikuwa yakitamkwa..Lakini baada ya Mahakama Kuu ya Rufani chini ya Majaji watatu,Kufutilia mbali Hukumu ile,na Kumrudishia Mrufani(Lemma) Ubunge, Vile Vikao vya MAA (Vya Ubaguzi wa Kikabila) vilikufa,! Na bwana Matthias Manga Diwani wa Mlangarin,kwa Aibu ya Ahadi aloyoitoa ya Kunywa Sumu japo hakufanya hivyo baada ya Lemma kurudishiwa Ubunge! Aliwanunua Vijana Usiku wa tar 31-12 2012,na kwenda kuzivunja na kuziharibu baadhi ya Ofisi na Matawi ya CHADEMA! ktk Kata anayoiongoza.

Huyu Ndie Matthias Manga, Diwani wa Mlangarine aliyeapa kwamba Jembe Lema akirudi Bungeni Anakunywa Sumu.

Hana tofauti na Gadaffi aliyewadharau wapinzani wake na nasikia alidiriki kuwaita panya buku na kuwa ikibidi anaweza kuandika katiba kwa damu yao, sote si tunajua mwisho wake, naye tunamsubiri
 
Katika kauli ambazo kwa kweli ziliwahi kunichefua ni hii iliyokua ikitolewa na Matthias Manga ambaye ni Diwani wa Kata ya MLANGARINE,(CCM) ktk Jimbo la Arumeru Magaribi.

Kwa wale wanaomjua vema,huyu ni Miongoni mwa Watu wanaotumiwa na Mzee Mamvi Mkoani Arusha kuhujumu Harakati za CHADEMA, na pia alitumika ktk .
Huyu mzee mwenye mvi anataka uraisi kwa udi na uvumba.......!
 
Mkuu sokoinei hili suala la uzawa ni kweli lilipambishwa moto na kundi la Laigwanani,kiasi fualani walifanikiwa kuwachinjia baharini wachagga na wapare ndani ya chaguzi za CCM.Nilimshangaa sana Lowassa kuratibu mipango haramu.Ikumbikwe Jimbo la Arusha mjini tangu mwaka 1980s aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini marehemu Ole Saibuli alianzisha operesheni ya kuwabagua wachagga na wapare ambao ni wengi sana mjini Arusha achilia mbali biashara kubwa na ndogo wanazomiliki.

Tangu wakati huo umekuwepo mkakati wa kutowachagua wabunge toka kabila la waArusha/maasai kwasababu ya dhambi ya ubaguzi aliyoianzisha Ole Saitabau.Alianza marehemu Mbagga mpare,akaja Kinana msomali akaja Makongoro Nyerere Mzanaki akaja Mrema mchagga na sasa Lema mchagga.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu sokoinei hili suala la uzawa ni kweli lilipambishwa moto na kundi la Laigwanani,kiasi fualani walifanikiwa kuwachinjia baharini wachagga na wapare ndani ya chaguzi za CCM.Nilimshangaa sana Lowassa kuratibu mipango haramu.Ikumbikwe Jimbo la Arusha mjini tangu mwaka 1980s aliyekuwa mbunge wa Arusha mjini marehemu Ole Saibuli alianzisha operesheni ya kuwabagua wachagga na wapare ambao ni wengi sana mjini Arusha achilia mbali biashara kubwa na ndogo wanazomiliki.

Tangu wakati huo umekuwepo mkakati wa kutowachagua wabunge toka kabila la waArusha/maasai kwasababu ya dhambi ya ubaguzi aliyoianzisha Ole Saitabau.Alianza marehemu Mbagga mpare,akaja Kinana msomali akaja Makongoro Nyerere Mzanaki akaja Mrema mchagga na sasa Lema mchagga.

nazani pia siyo wakati wakuanza kutafakari uovu wa saibulu maana alitoa tamko la hazarani kwenye mkutano wa kubagua makabili ya watu wengine ila ikumbukwe pia swala la ubaguzi wakabila la mtu halina maana kwa kizazi hiki kwani nani kakuambia ukiwa unajua kimasai au kipare au kimeru au kichaga nk unaweza kuombea kazi???
 
kulamba sumu ni uamuzi wa anayetaka kufa.

huyo ni kama wewe uliye leta mada na barua zako eti Lema anaivuruga chadema Arusha au nikama shabiki anaesema timu ninayo ishangilia ikifungwa na timu hii tunayo cheza nayo anamuaidi mtu ana mpa mke wake au atampa nyumba yake ikifungwa anakuwa mkali kweli nani alikuaidi sasa na yeye hawezi kunywa sumu nani anachukia kuisha aliongea tuu mana Mungu kampa mpumzi ya bure
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom