Nikitaka kuingi/ku sign in Gmail ya shule bussiness inaniingiza kenye g mail yangu. Inakataa kunietea g mail ya shule. Nifayeje? hata ki sign out, ni sign in inanpeleka moja kwa moja kwenye g mail yangu
Nikitaka kuingi/ku sign in Gmail ya shule bussiness inaniingiza kenye g mail yangu. Inakataa kunietea g mail ya shule. Nifayeje? hata ki sign out, ni sign in inanpeleka moja kwa moja kwenye g mail yangu
If you have more than one Google Account, you can sign in to multiple accounts at once. That way, you can switch between accounts without signing out and back in again. Your accounts have separate se
If you have more than one Google Account, you can sign in to multiple accounts at once. That way, you can switch between accounts without signing out and back in again. Your accounts have separate se
Hiyo ndio rahisi mkuu nenda juu kabisa kulia kuna mistari mitatu mistari ya kulala ukifungua itakupeleka kwenye menu ya kushuka chini yan drop down menu then baada ya downloads kuna passowrds ukibonyeza passwords itakupeleka kwenye account zote ulizo wahi kulogin kutumia mozila then ukiiselect account itakuruhusu ku edit au delete ukidelete utaweza kulogin upya na chochote unachotaka.
Hiyo ndio rahisi mkuu nenda juu kabisa kulia kuna mistari mitatu mistari ya kulala ukifungua itakupeleka kwenye menu ya kushuka chini yan drop down menu then baada ya downloads kuna passowrds ukibonyeza passwords itakupeleka kwenye account zote ulizo wahi kulogin kutumia mozila then ukiiselect account itakuruhusu ku edit au delete ukidelete utaweza kulogin upya na chochote unachotaka.