Jamani naomba msaada wa kuingia kwenye account yangu nimejaribu kuingia nikaweka password then ikanitaka niweke jina la rafiki yangu wa utotoni lakini jibu lake nilikwisha lisahau toka nilipo sign up na gmail account hivyo nashindwa kuingia naomba kwa anaejua nifanyeje kulijibu swali hilo ambalo nilikwisha lisahau
pole sana inaonekana hukuwa na 'best friend' utotoni, umesahau??
Vp wakati wa kuregister hukujaza secondary email?
kama google wameshindwa kukusaidia sijui kama sisi tutaweza, jitahidi kufuata maelekezo yao hatua kwa hatua utafanikiwa