Global publishers - utapeli ??

Global publishers - utapeli ??

Ndugu wapendwa,inawezekana hapa sio jukwaa sahihi lakini napost huku kwa kuwa wasomaji ni wengi.
Juzi nilituma sh 500 via 0757400600 kwa m-pesa ili nisome gazeti la globalpublishers online, nikatumiwa PIN number.
Cha ajabu naingiza PIn[accurately] inakataa, inasema invalid PIN, nawapigia via the same number, simu inaita tu haipokelewe, nikawatumia email via info@globalpublishers.info, no response, nikapiga simu namba 255659176842 ambayo ipo kwenye tangazo lao, no response, Je huu ni utapeli ? naomba msaada kwa mwenye taarifa,thanks.
Kama kweli unalipa sh 500 ili usome magazeti ya aina hiyo wacha yakupate. Huna maana
 
Kama wewe ni JF Member na bado unasoma MAGAZETI YA UDAKU basi ujue
"YOUR RUBISH IN A RUBISH PIT"
Hiyo hela katoe SADAKA

"YOUR RUBISH IN A RUBISH PIT" tehe tehe tehe tehe
 
Ndugu wapendwa,inawezekana hapa sio jukwaa sahihi lakini napost huku kwa kuwa wasomaji ni wengi.
Juzi nilituma sh 500 via 0757400600 kwa m-pesa ili nisome gazeti la globalpublishers online, nikatumiwa PIN number.
Cha ajabu naingiza PIn[accurately] inakataa, inasema invalid PIN, nawapigia via the same number, simu inaita tu haipokelewe, nikawatumia email via info@globalpublishers.info, no response, nikapiga simu namba 255659176842 ambayo ipo kwenye tangazo lao, no response, Je huu ni utapeli ? naomba msaada kwa mwenye taarifa,thanks.

hata mm yamenikuta, wanatakiwa watoe ufafanuzi. Nililipa kwa tigo pesa
 
Kama kweli unalipa sh 500 ili usome magazeti ya aina hiyo wacha yakupate. Huna maana
Aina ya gazeti analosoma mtu inategemea tu mtu anataka kupata habari za aina gani. Sasa si unazozipenda wewe tu kila mtu azipende. By the way utamu wa maisha upo kwenye tofauti zetu
 
Street University !

Elimu ya kitaa,wajinga ndio waliwao kekundu kekunduuuuuu...Alitokea jamaa m1 kutoka JF alitamani kusoma magazeti ya rangi rangi basi ikabidi alipie online jeferoo shigongo akilila kekundu kekunduuuuu.
 
Back
Top Bottom