Girls you need to take it slow..

Girls you need to take it slow..

Hahaha! Ati topetope... teh! Umenikumbusha hizo enzi nakula topetope mpaka mtu haoni mdomo uko wapi!

Teh teh teh umenivunja mbavu .hiyo ni kumbukumvu nzuru coz sa hv ukilipewa utajidai wataka kisu na uma lol
 
Teh teh teh umenivunja mbavu .hiyo ni kumbukumvu nzuru coz sa hv ukilipewa utajidai wataka kisu na uma lol

Haha! Saivi ustaarabu kwa sana tu! Hasa tukiwa mbele ya akina afrique twajifanya hatuli topetope!.. teh!
 
Last edited by a moderator:
Keshawekwa kimada na mwanasheria mkongwe na maarufu sana maeneo ya posta pale...hawez ruhusiwa tena.

Ka vp tujifunze wote
nitake radhi kabla hapajachimbika hapa ndani na pale exim tower :A S 39::A S 39::frusty:kwanini unanipakazia kwa makusudi ohoooooooo:banplease:kabla sijaleta balaa hapa.
 
nitake radhi kabla hapajachimbika hapa ndani na pale exim tower :A S 39::A S 39::frusty:kwanini unanipakazia kwa makusudi ohoooooooo:banplease:kabla sijaleta balaa hapa.


dah . . . mlichofanyiana huko mnakijua wenyewe.
Mi ngoja nisepe . . . sitaki ushahidi.
 
dah . . . mlichofanyiana huko mnakijua wenyewe.
Mi ngoja nisepe . . . sitaki ushahidi.

huyu dogo ananiletea mambo ya kihuni best,,,,,, Mentor kanigeuza grandmother wake loh
 
Last edited by a moderator:
nitake radhi kabla hapajachimbika hapa ndani na pale exim tower :A S 39::A S 39::frusty:kwanini unanipakazia kwa makusudi ohoooooooo:banplease:kabla sijaleta balaa hapa.

CC; Avemaria hapo nilipo bold...😛lane:

Hivi kuna mwanasheria gani pale...aaaaargh....kantoka kidogo!!!:tape:
 
Last edited by a moderator:
Baasi
kuna tabaka la wasichana hapa mjini wengi wapo in their 20s,wanafikiri maisha ni kufanya starehe

mtoto wa kike unakesha baa, getting wasted kama wanaume

mtoto wa kike vijiwe vyote vya sheesha unavijua

Mbaya zaidi mtoto wa kike una sleep around tu na kila dume kama tunavyofanya wanaume

khaa eti ndio umjini au nini

ukijashtuka uko in early 30s unataka kuolewa nani atakuona gume gume na reputation yako

huko instagram tunawachora tuu mnavyojianika

mbaya zaidi hii syndrome imeanza kuwa epidemic kwa wanawake wasomii

tunao maofisini,

wanaume wengi they are not complaining including mimi kidole sabab tunabenefit na easy sex, ung'ang'anizi unapungua etc

But one thing for sure we'll have fun but i will never take u to my mama

take it slow starehe fanya but kwa kiwango cha mwanamke

Mkuu!!watu na biashara zao kaka, huo ndio muda wa biashara!!Mbona we pale kwake yule Mangi muuza duku ikifika night anafunga, hii ni kwasabab akiendelea usiku wateja hakuna watu wamelala, sa kuna biashara zingine huanza night pia
 
Mkuu!!watu na biashara zao kaka, huo ndio muda wa biashara!!Mbona we pale kwake yule Mangi muuza duku ikifika night anafunga, hii ni kwasabab akiendelea usiku wateja hakuna watu wamelala, sa kuna biashara zingine huanza night pia

haha biashara za usiku
uchokozi huo me simo
 
Back
Top Bottom