Girls you need to take it slow..

Girls you need to take it slow..

kidole007 zama zile zilishapita sasa tuko zama hizi na zama zinazokuja sijui zitakuwaje na hakuna zama itayokopy zama ingine, kila zama itaona zama iliyopita ilikuwa imepitwa na wakati. We hakikisha mkeo hafanyi usiyotaka, huwezi mzuia dada yako maana anapendwa na mwanaume mwingine. Pia hakikisha binti yako haingii kwenye hayo unayoyaona maovu na kijana wako asiwe chachu ya kutake advantage ya waschana wasiojua kusema hapana. Play ur role and u'll see changes from ur generation onwards.
Change ni mimi na wewe na si kulalama na kukaa kimya, action is needed.

zipite zama elfu wanawake watabaki wanawake

changes zipi unaongelea ??
action zipi nianzae kumkatataza mtu mzima kuishi maisha yake?

Wanawake ndo wanalalama eti wanachezewa na hawaolewi

nani ataoa mwanamke anaye jiachia namna hyo

umesema some men are taking advantage of girls who cant say NO
sasa unataka mimi niwasemee No.
 
Last edited by a moderator:
you only live once anyway hakuna aliye na haki ya kumisbehave si mwanamke au mwanaume kwani wewe mwanaume unavyolala na wanawake hovyo ni sifa eti kisa amejirahisi ni ujinga jiheshimu

u only live once uhh!
 
Wengine sura zetu zinaleta vairas kwenye kompyuta!
Bora nitizame zenu nioshe macho....

teh! una utani wewe . . . sura yangu mwenyewe full topetope, hata siipelekagi huko.

Kuna smart phone na maeditting ya nguvu . . . unang'arishwa ka tanzanite best!
 
teh! una utani wewe . . . sura yangu mwenyewe full topetope, hata siipelekagi huko.

Kuna smart phone na maeditting ya nguvu . . . unang'arishwa ka tanzanite best!

Hahaha! Ati topetope... teh! Umenikumbusha hizo enzi nakula topetope mpaka mtu haoni mdomo uko wapi!
 
kidole007 zama zile zilishapita sasa tuko zama hizi na zama zinazokuja sijui zitakuwaje na hakuna zama itayokopy zama ingine, kila zama itaona zama iliyopita ilikuwa imepitwa na wakati. We hakikisha mkeo hafanyi usiyotaka, huwezi mzuia dada yako maana anapendwa na mwanaume mwingine. Pia hakikisha binti yako haingii kwenye hayo unayoyaona maovu na kijana wako asiwe chachu ya kutake advantage ya waschana wasiojua kusema hapana. Play ur role and u'll see changes from ur generation onwards.
Change ni mimi na wewe na si kulalama na kukaa kimya, action is needed.
Nah my dia! The guy has a point labda namna ya uwasilishaji tu ndio kakosea kido! nyinyi wadada ndio waathirika wakubwa wa culture hizi za kucopy majuu na kupaste huku underground! inge kuwa vyema hizo zama ukazitumia mazingira sahihi! ni lazima zama kucopy zama nyingine ndio maana leo asilimia kubwa ya vitu walivyo tumia zama hizo leo ndio new fashion huku underground! Dada stage hailukwi ukiluka utairudia tu hata kama muda umekuacha!!!!!!!!!! Kwa hili mnapaswa kubadilika! unajilinganisha na mtu wa nchi ambayo sheria zake si sawa na za kwenu nini unategemea?
 
kidole007 zama zile zilishapita sasa tuko zama hizi na zama zinazokuja sijui zitakuwaje na hakuna zama itayokopy zama ingine, kila zama itaona zama iliyopita ilikuwa imepitwa na wakati. We hakikisha mkeo hafanyi usiyotaka, huwezi mzuia dada yako maana anapendwa na mwanaume mwingine. Pia hakikisha binti yako haingii kwenye hayo unayoyaona maovu na kijana wako asiwe chachu ya kutake advantage ya waschana wasiojua kusema hapana. Play ur role and u'll see changes from ur generation onwards.
Change ni mimi na wewe na si kulalama na kukaa kimya, action is needed.
Ni kweli mkuu action is needed but still wanawake ni wahanga zaidi wa hili. Mungu atusaidie tuwe na uzao bora ili uje uwe msaada kwa jamii inayopotea.
 
kidole007 zama zile zilishapita sasa tuko zama hizi na zama zinazokuja sijui zitakuwaje na hakuna zama itayokopy zama ingine, kila zama itaona zama iliyopita ilikuwa imepitwa na wakati. We hakikisha mkeo hafanyi usiyotaka, huwezi mzuia dada yako maana anapendwa na mwanaume mwingine. Pia hakikisha binti yako haingii kwenye hayo unayoyaona maovu na kijana wako asiwe chachu ya kutake advantage ya waschana wasiojua kusema hapana. Play ur role and u'll see changes from ur generation onwards.
Change ni mimi na wewe na si kulalama na kukaa kimya, action is needed.

well said!
 
Last edited by a moderator:
Haya kweli ni majanga though sio kila mwanaume yuko ulivyoanalyse...

Mabinti wamekuwa si waoga tena na wako rase kuliko boda boda. Matendo ambayo mama zao waliyafanya sirini kwa kuyaonea haya wao hawaoni haya tena! Acha watumike tu na wanaume walivyo mafia anakutumia weee ukishakuwa scraper anatupa kule anakamata mtoto wa kienyeji anamvalisha shela! Wa mjini mtasubiri sanaaaaaa!
 
let mungu aside
tuongee tu ktk hali ya kawaida
mtoto wa kike usiku wa manane uko bar??
Bora uwe na boyfriend au kaka umetoka nae
unakuta kundi tu la madada wametoka wenyewe

kuna kosa gani mwanamke kuwa bar hadi saa 9 nani kasema mwanaume ndio anatakiwa kuwa hadi muda huo.....unasema bora uwe na bf wakati wenyewe mnakimbia kutoa ofa mnasema mnachunwa wakiamua kuwa wenyewe mnawaita malaya lipi jema waache wajipe raha wenyewe kama wewe unavyojipa
 
teh! una utani wewe . . . sura yangu mwenyewe full topetope, hata siipelekagi huko.

Kuna smart phone na maeditting ya nguvu . . . unang'arishwa ka tanzanite best!

Haha working na camera360 lol no need ya photoshop ni kutafuta venue tuu
 
kuna kosa gani mwanamke kuwa bar hadi saa 9 nani kasema mwanaume ndio anatakiwa kuwa hadi muda huo.....unasema bora uwe na bf wakati wenyewe mnakimbia kutoa ofa mnasema mnachunwa wakiamua kuwa wenyewe mnawaita malaya lipi jema waache wajipe raha wenyewe kama wewe unavyojipa

Mtoto anahitaji zaidi mama yake kuliko baba. Sasa ukiwa bar mpaka saa 9 usiku hiyo haipendezi kwa mwanamke kama mhimili wa familia. Starehe kwa kiasi na mambo mengine yatakwenda vizuri
 
kuna kosa gani mwanamke kuwa bar hadi saa 9 nani kasema mwanaume ndio anatakiwa kuwa hadi muda huo.....unasema bora uwe na bf wakati wenyewe mnakimbia kutoa ofa mnasema mnachunwa wakiamua kuwa wenyewe mnawaita malaya lipi jema waache wajipe raha wenyewe kama wewe unavyojipa

me nikikuta kundi la wadada wenyewe usiku kwangu ni invitation tosha kuwa wapo available

tukiacha na hyo kuna girls nite out mara moja moja sio mbaya

sasa unakuta midada ndio life style yao kila akitoka kazini na yeye anapitia lounge kupata moja moto moja baridi
hadi mida mibovu nan aoe mwanamke kama huyo
 
Haya kweli ni majanga though sio kila mwanaume yuko ulivyoanalyse...

Mabinti wamekuwa si waoga tena na wako rase kuliko boda boda. Matendo ambayo mama zao waliyafanya sirini kwa kuyaonea haya wao hawaoni haya tena! Acha watumike tu na wanaume walivyo mafia anakutumia weee ukishakuwa scraper anatupa kule anakamata mtoto wa kienyeji anamvalisha shela! Wa mjini mtasubiri sanaaaaaa!

No lie! Shela watasubiri sanaaa
 
Haha working na camera360 lol no need ya photoshop ni kutafuta venue tuu
shmd65 kweli sura hii itaweza kubalika huko insta..?
Ndo maana natafuta mrembo ili angalau wanangu wawe prezentabo!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom