nameless girl
JF-Expert Member
- Apr 22, 2012
- 4,195
- 2,685
Mh, uyo sitamuweza otherwise kabla ya ndoa nichukue course fupi ya Kong Fu toka kwa Jet Lee kaka ake na Suma Leenameless girl na ukorofi wako lazima uolewe na alhaji tyson
Mh, uyo sitamuweza otherwise kabla ya ndoa nichukue course fupi ya Kong Fu toka kwa Jet Lee kaka ake na Suma Leenameless girl na ukorofi wako lazima uolewe na alhaji tyson
Mh, uyo sitamuweza otherwise kabla ya ndoa nichukue course fupi ya Kong Fu toka kwa Jet Lee kaka ake na Suma Lee
itabidi uje kwangu tukutane wapole ila nina shushu balaaaa
l am in love wit Undertaker
Kipipi huruma ikizidi hatarii
huyu Undertaker mbona ana wake wengi hivi? na wewe unakubali tu lione aaaah
hee! iv kuna mtu anaitwa undertaker humu hee? lol l meant yule wa mieleka, that is my future husnd
hukujua mme wa mtu huyo asee usije sababisha nichape mtu konde....sasa nimegundua huna natangaza nia
we jina lako linaeleza sababu.....unapenda utam sana wewe Kipipi
utaweza kulia for me?
Kwani kujali hisia za mwenzio ni kupenda utamu?
hilo rahis ntakuja na maajabu hadi ujute kwa nini sijajuana na wewe siku nyingi
kama ni hisia big up mi nilijua sio hilo.....ila chunga hisia zikizidi unaeza ukajikuta upo gerezani..watu wengine ukiwalilia tu wanaona mteremko
haya wajameni, nina ucngizi sana, ucku mwema, ila usisahau kutuma mahali kwenye tigopesa ili tuwaishe mambo c unajua, chelewa chelewa .......
Naweza nikamuonea mtu huruma na nikajali hisia zake pia . . . . ila maamuzi yanaweza kutofautuiana na huruma yangu!
ni pm bas tumalizane mi huwa ni CASH TU