Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,039
Kwanza nashukuru Mungu amenijalia kuishi nchi zisiopungua 10 na nimeona na nimejifunza lifestyle mbali mbali kuhusu mapenzi na nimeona watu wanavyochukulia hasa swali la mahusiano!
Ukitaka ufaidi mapenzi don't take serious, usichukulie mapenzi kwa makini sana,
shusha batani ya wivu hadi ishuke kabisa isome 0.007%. Demu wako akikwambia anataka aende club na wewe siyo mtu wa club, mwambie baby usijali unaweza kwenda na ikiwezekana mpe kabisa na pesa ya outing. Akisema baby nataka nisafiri na marafiki zangu, mwambie baby it's fine unaweza kwenda usijali, ukikutana naye yupo na mwanaume mwingine akakudanganya ni ndugu yake, wewe usihoji chochote mchangamkie tu.
N.B: mwanamke ukimpa uhuru wa kupitiliza, itafika kipindi atakuogopa sana na kujirudi kwa asilimia 100%.
Ukitaka ufaidi mapenzi don't take serious, usichukulie mapenzi kwa makini sana,
shusha batani ya wivu hadi ishuke kabisa isome 0.007%. Demu wako akikwambia anataka aende club na wewe siyo mtu wa club, mwambie baby usijali unaweza kwenda na ikiwezekana mpe kabisa na pesa ya outing. Akisema baby nataka nisafiri na marafiki zangu, mwambie baby it's fine unaweza kwenda usijali, ukikutana naye yupo na mwanaume mwingine akakudanganya ni ndugu yake, wewe usihoji chochote mchangamkie tu.
N.B: mwanamke ukimpa uhuru wa kupitiliza, itafika kipindi atakuogopa sana na kujirudi kwa asilimia 100%.