Girlfriend wako ana tatizo hili?

paka mate kwa hiyo ninihiyoo yako.... na temea mate mazitozito kwake (ktk goli).... utanipa matokeo.. u will ennjoy
 
Tumia y2k

" true love have never exist and those who got it have never realize it until they die "
 
paka mate kwa hiyo ninihiyoo yako.... na temea mate mazitozito kwake (ktk goli).... utanipa matokeo.. u will ennjoy
<br />
<br />
hahaaaa mpaka abiria wanaona me chizi nacheka mwenyewe
 
mkuu maandalizi muhumi sio kuwa kama jogoo unaruikia bila hata taarifa
Mwandae na mtayarishe mpaka awe tayari kaka

jamani msiwaseme kuku na jogoo. kule kukimbizana ndo maandalizi yenyewe. hamuonagi tayari kuku jike huwa wet by the time jogoo anapanda juu?!!!!!!
 
Tatzo is not only preparations to woman kuna wanawake wengi wanasumbuliwa na tatzo la Ukavu ktk uke! Hili tatzo linatibika jaribu kuonana na daktari atakusaidia!
 
Muoe[funga ndoa nae] hilo tatizo litaisha. Kwani wakati wa tendo anafikiria mambo mengine mf. Nikipata mimba itakuaje nk ,matokeo yanakuwa hivyo.
 
mimi nina gf, ni mzuri na ninampenda sana. Tatizo lake ni kwamba tunapokuwa kwenye stage anaumia sana hasa wakati wa kuanza. Nini chanzo cha tatizo hili na nifanyeje ndg zangu?
wakti wa mungu kuingia huko umeshawadia kihalali au unazini tu? May be ndo sababu.funga nae ndoa tuone kama tatizo litaendelea.kukupa ushauri kwa galfriend ni sawa na kushabikia zinaa na uzinziiii
 
Hapo nadhani ameathirika kisaikolojia.......huenda kuna kitu kilishamuumiza sana ktk mahusiano mpaka inatoke hana hamu ya ku-do......hivyo hisia zipo mbali na labda wakati mnataka kumpa haki yake yeye hukumbuka ki2 kilichomuumiza kipindi flan na mood inakata hivyo unakuta haiwi rahisi kukojoa hata kama unachezea kine....be fresh na kunakuwa kukavu ndio maana anaumia ukiingiza....ongeza mautundu na ikishindikana anahitaji councellin mzee arudi kwenye hali yake ya kawaida. Maumivu yakizidi muone daktari.
 
kunachuo kinaanzishwa hapa bongo sexology university kitatoa wataalamu wa ukwel nafkir kitasaidia sana haya matatizo yenu ya kijamiii
Avatar zingine bana...!
 

Attachments

  • avatar26152_1.gif.png
    avatar26152_1.gif.png
    8.5 KB · Views: 22
Anza mdogo mdogo
Acha fujo na papara
Usimvamie kama ndo vile hujawahi ona ..
 
hbu muandae mwenzio vizuri sio ukifika tu unatumbukiza ukuni wako....................huh
Sure!yawezekana hata kama unamuandaa wafanya fasta fasta ili utumbukie.....au yawezekana wewe pia hujaandaliwa ipasavyo hivyo wakuta haijanyooka ipasavyo na hivyo kupindapinda kwenye kisima cha mwinzio!
 
Uzinzi jaman,unasumbua kweli hiki kizazi.na hii Dhambi watu hawaigopi,hivyo nao pia Hawaogopi hukumu ya Mungu.Mungu atuhurumie vijana
 
Polen sana! Inawezekana tatizo likawa sio maandalizi, jaribuni kukaa mkajadili ili kubain kama maumivu yanatokana na labda maandalizi mabaya, mchubuko, au bacteria infection na baada ya hapo mtajua nini kifanyike lakin mwisho wa yote ni vema mkapata ushauri wa mtaalam na kufanya chekup ili ujue tatzo lake na sio kubashiri mambo wakati cvyo yalivyo.
 
Back
Top Bottom